Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kuhamia USA nikitaka, lakini mshahara ni ule ule popote nitakapoamua kufanyia kazi

Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kuhamia USA nikitaka, lakini mshahara ni ule ule popote nitakapoamua kufanyia kazi

Kuna mshkaji alitokea Boston,MA alikuja dar alikuwa analipwa mshahara uleule wa Boston tena hajapewa hata hela ya kumove zaidi ya kununuliwa ticket tu. Kila company ina policies zake
Exactly!
 
Habari wakuu,

Nahitaji ushauri kidogo hapa. Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kufanyia kazi popote pale, na hata kuhamia yalipo makao makuu ya shirika kama nikitaka (Houston, Texas, USA), lakini pia nikitaka naweza kubaki hapa hata Tanzania nikaendelea kufanya kazi remotely, nikawa naenda USA mara mbili tu kwa mwaka. Nikiamua kuhamia USA, maana yake wako tayari kuni sponsor VISA ya H-1B.

The tricky part ni kwamba mshahara ni ule ule, vyovyote vile nitakavyoamua. Jiji ambalo makao makuu ya jamaa yapo ni Houston, jimbo la Texas. Mimi nina familia ya mke na watoto wawili, ofa yao ya mshahara ni USD 7,500 kwa mwezi. Wamenipa muda wa wiki mbili nifanye maamuzi kisha niwaatarifu ili waandae mkataba wangu kulingana na maamuzi nitakayokuwa nimeyafanya.

Kufanya kazi na kuishi USA kiujumla limekuwa ni jambo ambalo nimelitamani sana kwa muda mrefu kusema ukweli, shida ni hapo kwenye maslahi naona kuhamia USA with the same income ambayo naweza pia ipata kwa kubaki hapa bongo ni kama nitakuwa nimerudi nyuma sana, kwa sababu USD 7,500 kwa maisha ya Marekani sio pesa nyingi kihivyo, kulinganisha na bongo ambako unaishi ki-don kweli kweli kwa hiyo pesa.

Najua humu JF kuna wazoefu wa kuishi USA, na pia kuna watu wana exposure za kutosha kiujumla, nikaona sio mbaya nikaja hapa kuomba ushauri.

UPDATE 01/02/2024: Napenda kuwapatia update kuwa nimefanya uamuzi kuhusiana na hili suala.
Nimeamua kuwa nitabakia hapa hapa BONGO, baada ya kuchakata ushauri wenu, pamoja na insights kutoka sehemu mbalimbali. Nimeonelea kuwa itakua na faida zaidi kwangu nikiendelea kubaki hapa hapa, mpango ni kuweza ku save as much as possible, na kufanya investiments za long term na short term hapa hapa nchini. Hivyo, nimeshasaini mkataba wa mwaka mmoja ambao utawezesha hilo. Nawashukuruni nyote kwa mawazo yenu.
Acha ushamba we M18,9....................50 hazikutoshi😂
 
UPDATE: Napenda kuwapatia update kuwa nimefanya uamuzi kuhusiana na hili suala.
Nimeamua kuwa nitabakia hapa hapa BONGO, baada ya kuchakata ushauri wenu, pamoja na insights kutoka sehemu mbalimbali. Nimeonelea kuwa itakua na faida zaidi kwangu nikiendelea kubaki hapa hapa, mpango ni kuweza ku save as much as possible, na kufanya investiments za long term na short term hapa hapa nchini. Hivyo, nimeshasaini mkataba wa mwaka mmoja ambao utawezesha hilo. Nawashukuruni nyote kwa mawazo yenu.
We ni mjinga Sana huu uamuzi utakuja kuusahau
 
Indeed hiyo sio pesa ya kutisha US hasa kwenye mji kama Houston, ila there's truckload more that the US offers kulinganisha na Ileje (Bongo yote ni Ileje tu).

Nenda nje kapate exposure, ongeza ujuzi, elimu na maarifa. It's easier to scale up ukiwa nchi ya maziwa na asali-US kuliko Ileje. Utadouble hiyo amount within a short period of time. Ushajiuliza ukibaki bongo afu ukapoteza hiyo kazi ni wapi pengine utapata kazi kama hiyo? US zipo kibao ni wewe tu.

Badilisha mazingira huko mbeleni ukiamua kurudi Ileje it's up to you ila at least jaribu maisha upande wa pili. Usiinyime familia fursa.
Ushauri huu apa kimbia haraka bila kupepesa macho pembeni.
 
Nimeonelea kuwa itakua na faida zaidi kwangu nikiendelea kubaki hapa hapa, mpango ni kuweza ku save as much as possible, na kufanya investiments za long term na short term hapa hapa nchini.
👏🏽👏🏽👏🏽
 
Kuna mshenzi mmoja tuko chuoni alitulaghai bana akasema atatuajiri Barric gold mine North Mara...yani tuliwehuka..huo mshahara aliotutajia ni interms of dollars tukataka tuache na chuo...mhh badae tunajiuliza mshahara wote huu ni sisi au? Na barua yenye nembo ya barick zikatumwa kwny simu zetu sijui yule alikua IT mpk leo nawaza..ila akasema kuna kiasi tutatakiwa tutoe...ndo akili ikaja kuuliza uliza tukaambiwa mtaliwa hela na nyie wenyewe mtaliwa..tuka escape from sorbibo
[emoji16][emoji16]
 
Sijui kuhusu nyinyi wenzangu ila binafsi sajawahi kutamani kuishi nje ya Nchi yangu kabisa. I mean, everyone is here. Wazazi, Kaka zangu, dada, Rafiki zangu, Ma ex, ma crush wangu kila cha maana na cha kipuuzi kwangu kipo hapa. Mnawezaje kwenda kuanza moja kwenye nchi za kigeni zenye tamaduni tofauti kabisa na mlizokulia huku mkiacha nyuma kila kilichowakuza... ?!
Watu wamegom kuwa mtaji wa fisiemu mkuu.
 
Habari wakuu,

Nahitaji ushauri kidogo hapa. Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kufanyia kazi popote pale, na hata kuhamia yalipo makao makuu ya shirika kama nikitaka (Houston, Texas, USA), lakini pia nikitaka naweza kubaki hapa hata Tanzania nikaendelea kufanya kazi remotely, nikawa naenda USA mara mbili tu kwa mwaka. Nikiamua kuhamia USA, maana yake wako tayari kuni sponsor VISA ya H-1B.

The tricky part ni kwamba mshahara ni ule ule, vyovyote vile nitakavyoamua. Jiji ambalo makao makuu ya jamaa yapo ni Houston, jimbo la Texas. Mimi nina familia ya mke na watoto wawili, ofa yao ya mshahara ni USD 7,500 kwa mwezi. Wamenipa muda wa wiki mbili nifanye maamuzi kisha niwaatarifu ili waandae mkataba wangu kulingana na maamuzi nitakayokuwa nimeyafanya.

Kufanya kazi na kuishi USA kiujumla limekuwa ni jambo ambalo nimelitamani sana kwa muda mrefu kusema ukweli, shida ni hapo kwenye maslahi naona kuhamia USA with the same income ambayo naweza pia ipata kwa kubaki hapa bongo ni kama nitakuwa nimerudi nyuma sana, kwa sababu USD 7,500 kwa maisha ya Marekani sio pesa nyingi kihivyo, kulinganisha na bongo ambako unaishi ki-don kweli kweli kwa hiyo pesa.

Najua humu JF kuna wazoefu wa kuishi USA, na pia kuna watu wana exposure za kutosha kiujumla, nikaona sio mbaya nikaja hapa kuomba ushauri.

UPDATE 01/02/2024: Napenda kuwapatia update kuwa nimefanya uamuzi kuhusiana na hili suala.
Nimeamua kuwa nitabakia hapa hapa BONGO, baada ya kuchakata ushauri wenu, pamoja na insights kutoka sehemu mbalimbali. Nimeonelea kuwa itakua na faida zaidi kwangu nikiendelea kubaki hapa hapa, mpango ni kuweza ku save as much as possible, na kufanya investiments za long term na short term hapa hapa nchini. Hivyo, nimeshasaini mkataba wa mwaka mmoja ambao utawezesha hilo. Nawashukuruni nyote kwa mawazo yenu.

Kaa kule miezi sita, mwaka mmoja usome mazingira. ndio ufanye uamuzi. Visa utakuwa nayo tayari. Unaweza kurudi kuishi bongo.
 
Mnawezaje kwenda kuanza moja kwenye nchi za kigeni zenye tamaduni tofauti kabisa na mlizokulia huku mkiacha nyuma kila kilichowakuza... ?!
Mkuu kila mtu na mawazo yake,
Nilitimka baada ya kuchomwa vyupa tumboni,nyukwa risasi mara 2.
Siku zikalambwa dola km 5000 na mil 2 hela za bosi.
Kupigana chupa ,visu kawaida tu,
Gonga gari mshenzi mmoja nimempa gari kumbe anakunywa viroba.
Kalibamiza nikaibiwa kilakitu tukajikuta ICU..
Nako polisi wamelamba gari wakaandikisha tumekufa.
Mungu jaalia yule daktari ndio katupima tuko wazima ni damu tu.
Toka hapo kibasila nako kidogo kukatwa mguu.
Wanadai umeharibika,
(BOda hawa wanalimwa miguu pale nimeona)
Kumbe kuna mpumbavu mmoja Fundi magongo ya vilema ana deal na madoctor.
Aisee nilitoka nimechoka sana.
Sasa hiyo nchi unakaaje?
 
Nawaza mtu mwenye elimu ya kulipwa mshahara wa 19,125,000
Anakosaje uwezo wa kuchanganua kipi ni kipi kwake mpaka aulize jf .... nawaza tu wakuu
Inawezekana kabisa. Mdogo wangu IT alimaliza chuo akadaka mkataba wa nje ya nchi ila kazi anafanyia hapahapa bongo mshahara Dollar 4500. Lakini hana uzoefu wowote wa maisha. 10M+ inaingia kwenye Account kila mwezi.
 
Mkuu kila mtu na mawazo yake,
Nilitimka baada ya kuchomwa vyupa tumboni,nyukwa risasi mara 2.
Siku zikalambwa dola km 5000 na mil 2 hela za bosi.
Kupigana chupa ,visu kawaida tu,
Gonga gari mshenzi mmoja nimempa gari kumbe anakunywa viroba.
Kalibamiza nikaibiwa kilakitu tukajikuta ICU..
Nako polisi wamelamba gari wakaandikisha tumekufa.
Mungu jaalia yule daktari ndio katupima tuko wazima ni damu tu.
Toka hapo kibasila nako kidogo kukatwa mguu.
Wanadai umeharibika,
(BOda hawa wanalimwa miguu pale nimeona)
Kumbe kuna mpumbavu mmoja Fundi magongo ya vilema ana deal na madoctor.
Aisee nilitoka nimechoka sana.
Sasa hiyo nchi unakaaje?
Dah, pole sana.
 
Hizi fani tulizosomea wengine tunaona tu mishahara ya dola afu 7500 dah life has no balance
 
Habari wakuu,

Nahitaji ushauri kidogo hapa. Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kufanyia kazi popote pale, na hata kuhamia yalipo makao makuu ya shirika kama nikitaka (Houston, Texas, USA), lakini pia nikitaka naweza kubaki hapa hata Tanzania nikaendelea kufanya kazi remotely, nikawa naenda USA mara mbili tu kwa mwaka. Nikiamua kuhamia USA, maana yake wako tayari kuni sponsor VISA ya H-1B.

The tricky part ni kwamba mshahara ni ule ule, vyovyote vile nitakavyoamua. Jiji ambalo makao makuu ya jamaa yapo ni Houston, jimbo la Texas. Mimi nina familia ya mke na watoto wawili, ofa yao ya mshahara ni USD 7,500 kwa mwezi. Wamenipa muda wa wiki mbili nifanye maamuzi kisha niwaatarifu ili waandae mkataba wangu kulingana na maamuzi nitakayokuwa nimeyafanya.

Kufanya kazi na kuishi USA kiujumla limekuwa ni jambo ambalo nimelitamani sana kwa muda mrefu kusema ukweli, shida ni hapo kwenye maslahi naona kuhamia USA with the same income ambayo naweza pia ipata kwa kubaki hapa bongo ni kama nitakuwa nimerudi nyuma sana, kwa sababu USD 7,500 kwa maisha ya Marekani sio pesa nyingi kihivyo, kulinganisha na bongo ambako unaishi ki-don kweli kweli kwa hiyo pesa.

Najua humu JF kuna wazoefu wa kuishi USA, na pia kuna watu wana exposure za kutosha kiujumla, nikaona sio mbaya nikaja hapa kuomba ushauri.

UPDATE 01/02/2024: Napenda kuwapatia update kuwa nimefanya uamuzi kuhusiana na hili suala.
Nimeamua kuwa nitabakia hapa hapa BONGO, baada ya kuchakata ushauri wenu, pamoja na insights kutoka sehemu mbalimbali. Nimeonelea kuwa itakua na faida zaidi kwangu nikiendelea kubaki hapa hapa, mpango ni kuweza ku save as much as possible, na kufanya investiments za long term na short term hapa hapa nchini. Hivyo, nimeshasaini mkataba wa mwaka mmoja ambao utawezesha hilo. Nawashukuruni nyote kwa mawazo yenu.
Umefanya maamuzi mazuri sana, kwa mshahara huo ni posho ya mwezi ya wanafunzi wanayopewa kwa health Insurance, accomodation, communication, food and other utilities. Kumbuka huyu ni mwanafunzi , yuko peke yake na posho hii inaisha.

Sasa wewe unafamilia mke na watoto ungebakia kila mwezi kukopa. Health Insurance, accomodation, communication, food and other utilities ndio vitu hadimu na aghali sana, sasa ongezea school fees na transport kwa watoto wawili, yaani ungeangukia kichwa, unless kama ungeamu kujibana kachumba ka watu wawili.

Ungeamua kukata non comprehensive health insurance coverage; hapa wewe au mtoto akiugua ndipo moto ungeupata, kulazwa siku mbili millioni na uchafu na kutokata kabisa is suicidal, Vyakula vyao huko ni hatari na tasteless, hakuna mama ntilie, kila mgahawa na hotel ni licensed na bei inatisha, kununua tropical foods itabidi ujipange unless utaishia kuwapa watoto makuku ya genetic engeneering, kunenepa wangenenepa ila cha moto wangekipata.
 
Umefanya maamuzi mazuri sana, kwa mshahara huo ni posho ya mwezi ya wanafunzi wanayopewa kwa health Insurance, accomodation, communication, food and other utilities. Kumbuka huyu ni mwanafunzi , yuko peke yake na posho hii inaisha.

Sasa wewe unafamilia mke na watoto ungebakia kila mwezi kukopa. Health Insurance, accomodation, communication, food and other utilities ndio vitu hadimu na aghali sana, sasa ongezea school fees na transport kwa watoto wawili, yaani ungeangukia kichwa, unless kama ungeamu kujibana kachumba ka watu wawili.

Ungeamua kukata non comprehensive health insurance coverage; hapa wewe au mtoto akiugua ndipo moto ungeupata, kulazwa siku mbili millioni na uchafu na kutokata kabisa is suicidal, Vyakula vyao huko ni hatari na tasteless, hakuna mama ntilie, kila mgahawa na hotel ni licensed na bei inatisha, kununua tropical foods itabidi ujipange unless utaishia kuwapa watoto makuku ya genetic engeneering, kunenepa wangenenepa ila cha moto wangekipata.
Hata Ije itokee namimi nipate nafasi ya kwenda yuesiei sitakwenda! Huu ushauri wako ni balaa sitakanyaga huko.
 
Back
Top Bottom