Nimepata kazi ambayo inaniruhusu kuhamia USA nikitaka, lakini mshahara ni ule ule popote nitakapoamua kufanyia kazi

Watu wanapataje hizi remote jobs?
 
Mkuu tusaidie tupate links za kuomba kazi za remote
 
Umepigwa au unakaribia kupigwa! Hakuna cha ajira wala mjomba wake ajira! Shtuka!
Kwanini unamwambia hivyo? Mimi rafiki yangu ni IT (developer) ana kama mwezi amesign mkataba anafanya remotely na wanamlipa vizuri “kibongo bongo”. Ndio kwanza ana mwezi mmoja tangu aanze kazi.

Kazi zipo ila zinahitaji skills fulani fulani adimu.
 
Mkuu tusaidie tupate links za kuomba kazi za remote
Nikishatulia nitaandika uzi wa namna ya kuji position kwa ajili ya hizi fursa za kazi za remotely kwa organizations za USA na UK; Sio rahisi lakini inawezekana kabisa. Bora wewe umeuliza kuliko waliojaa negativity kwa huu uzi.
Nikisha settle nitaandika hiyo thread, nitakushtua DA HUSTLA
 
Zinahitaji exposure fulani ambayo si rahisi sana kupatikana kwa AVERAGE youths wengi wa Kitanzania.
 
Mimi hao waliojaa ma negativity hata sipotezi muda kuwajibu, nawaacha na negativities zao wasije niambukiza bure.
 
Mkuu mm sijawahi fika US wala sipajui ila nimeangalia TV shows zao, movies plus music zao sijaona umeme ukikatika, sijaona wakilalamika sukari hakuna wala maovyo ovyo utadhani tupo mafunzo ya jkt. Nikushauri tu nenda kabdirishe upepo, ile nchi ni large economic power house, hata mkataba ukiisha huwezi kosa kazi nyingine hapa bongo nyoso mkuu.
 
Na mimi naomba unistue mkuu🙏🙏 all the best bro, kingine pia mshirikishe Mungu yeye ndie anajua mwisho na mwanzo wetu.
 
Hahahahaha...!! Sawa mkuu, ila kumbuka yanayoonyeshwa kwenye movie ni 5% tu ya uhalisia mkuu. Kwani kwenye bongo movie zetu umewahi ona wanaongelea mgao wa umeme? Au wanaongelea shida ya maji ambayo ni common kwa sehemu nyingi Dar es salaam?
Anyways, nimechukua ushauri wako pia asante sana, nitauchakata katika halmashauri ya kichwa changu.
 
Mkuu kazi ninayofanya inanipa access ya kuwahudumia watalii nachelea kusema 95% ya Wageni wanaokuja Tz kwa ajili ya trophy hunting ni wamarekani, hii inaonyesha jinsi gani wako na power to spend na mind you ili waweze kufanya aina hiyo ya utalii ni lazima uwe well off like real well off! I don't mind to work and live in a country like that especially kama una uhakika wa kupata USD 7500. Hata kule kwao kwa modern families I'm pretty sure is comfy paycheck.
 
7500$ ni before au after taxes?
Assuming ni after taxes, hiyo unaishi fresh marekani.
ila utaishi as a normal family.
ila hiyo kwa bongo unaweza ukainvest ukawa tajiri mkubwa sana mwenye chawa wake mjini.

Uamuzi ni wako, uende marekani ukaishi maisha ya kawaida au ubaki bongo uishi kifalme.
 
After taxes (makato waliyoniorodheshea ni Health insurance, Retirement contribution na tax), ambayo ukishakata hayo ndo inabaki 7,500. Japokua sasa hapa naona kuna wadau wengine wamesema ni kama vile kutakua na makato mengine tena zaidi (sina uhakika na hilo, hapa nasema ambacho nimetumiwa na organization). The dumb Professor
 
Asante sana mkuu kwa ushauri mzuri.
 
Ok, bas fanya ivi...we pga hapa bongo, ila hakikisha unapiga kazi ileile mpaka wakukubali sana. Mda huo unakuwa unainvest vitu vya maana hapa bongo, ikiwa kampuni itakuwa vizuri zaidi.
Ukishapiga miaka miwili na una uhakika wa kipato kikubwa kutokana na investment zako hapa bongo.

Unaomba wakuongezee mshahara ili uhamie huko USA. Hawawezi kuchomoa kama ulifanya kazi vizuri
 
nakushauri usiende huko ata kama mshara ni sawa na pato la MO kwa wiki,,,nielewe,ukienda huko utarudi tundu la nyuma likiwa kama tundu la shimo la panya wa kawe toka malawi!!!,ukiepuka hilo basi utajikuta umeoa mwanaume aliyebadili jinsia ukifikiri mwanaume ukinusurika hapo basi utaoa robot bila kujua,mpka siku utakapolikuta limelala kwenye sofa ukafikiri limekufa kumbe unatakiwa ulicharge!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…