Mapondo Mapoka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 269
- 121
Madam tajwa hapo juu yahusika sana.
Nimekua sekta binafsi kwa miaka kadhaa sasa, hadi kufikia kupewa madaraka makubwa tu kazini. Natakiwa kwenda kuripoti na hapa niko najiuliza namna gani nzuri ya kuaga uongozi na wafanyakazi wenzangu.
Naombeni ushauri wenu wakuu.
Madam tajwa hapo juu yahusika sana.
Nimekua sekta binafsi kwa miaka kadhaa sasa, hadi kufikia kupewa madaraka makubwa tu kazini. Natakiwa kwenda kuripoti na hapa niko najiuliza namna gani nzuri ya kuaga uongozi na wafanyakazi wenzangu.
Naombeni ushauri wenu wakuu.
Kwani hujui kuaga au? mbona unakuwa Kama sio msomiMadam tajwa hapo juu yahusika sana.
Nimekua sekta binafsi kwa miaka kadhaa sasa, hadi kufikia kupewa madaraka makubwa tu kazini. Natakiwa kwenda kuripoti na hapa niko najiuliza namna gani nzuri ya kuaga uongozi na wafanyakazi wenzangu.
Naombeni ushauri wenu wakuu.
Pima mambo mawiliMadam tajwa hapo juu yahusika sana.
Nimekua sekta binafsi kwa miaka kadhaa sasa, hadi kufikia kupewa madaraka makubwa tu kazini. Natakiwa kwenda kuripoti na hapa niko najiuliza namna gani nzuri ya kuaga uongozi na wafanyakazi wenzangu.
Naombeni ushauri wenu wakuu.
Akili za kuambiwa...Mbona easy
Nunua mbuzi wawili au watatu tuchome,kreti la Safari,la castle ,la Kilimanjar,konyagi size ya Kati 4,k vant kubwa 2.
Je,nisipoandika nikaaga kawaida au nikapiga sim tu nimeacha kazi vpAndika barua ya kuacha kazi saa 24, ila utatakiwa umlipe mwajiri wako mshahara wa mwez mmoja
Kupiga simu sio ustaarabu watakushangaaJe,nisipoandika nikaaga kawaida au nikapiga sim tu nimeacha kazi vp
Sina elimu hiyo mkuu,Mada imekaa kitoto sana . Yaani ubauliza watu namna ya kuaga wafanyakazi wenzako msomi wa chuo kikuu mwenye madaraka makubwa ! Kuna vitu vinashangaza
Je,nisipoandika nikaaga kawaida au nikapiga sim tu nimeacha kazi vp
kama ulikuwa mfagia ofisi hapo sawaaa na pia inaonaekana bado upo mguu ndani mguu nje yani private unataka na serikalini unataka. Nenda kaage ukabidhi ofisii usiwe kama tapeli ofisi ilikuheshimu ondoka na heshima yako maana kiukweli hawawezi kukukatalia usiondokee….watu wanakufa leo kesho anapatikana wa kuwarithi itakuwa weweJe,nisipoandika nikaaga kawaida au nikapiga sim tu nimeacha kazi vp
Sometimes ni hekima hutumika na sio elimu . Kama wewe ni kiongozi kwenye taasisi ambaye huwa unatatua changamoto mbali mbali na kupenbua mambo inakuaje hujui namna ya kuaga wafanyakazi wenzako?Sina elimu hiyo mkuu,
Maisha sio kazi peke yake, Angalia na malengo yako mengine baada ya miaka kadhaa, angalia kipato unachoacha na kile unachoenda kupata, angalau uhuru wako wa kazi kwa sasa, chunguza uhuru utakaokuwa nao kwenye hiyo kazi unayotaka kuiendea, angalia mafanikio yako na malengo yako kwa sasa linganisha na miaka kadhaa baadaye, mfano mpaka sasa umeachieve nini? Baada ya miaka 3 au minne utakuwa wapi kwenye kazi hii, na hiyo utakayoenda kuifanya future yako ikoje?Madam tajwa hapo juu yahusika sana.
Nimekua sekta binafsi kwa miaka kadhaa sasa, hadi kufikia kupewa madaraka makubwa tu kazini. Natakiwa kwenda kuripoti na hapa niko najiuliza namna gani nzuri ya kuaga uongozi na wafanyakazi wenzangu.
Naombeni ushauri wenu wakuu.
NSSF walikuwa wanaweka ?Je,nisipoandika nikaaga kawaida au nikapiga sim tu nimeacha kazi vp
AiseeMada imekaa kitoto sana . Yaani ubauliza watu namna ya kuaga wafanyakazi wenzako msomi wa chuo kikuu mwenye madaraka makubwa ! Kuna vitu vinashangaza