Kwani huwa hamsaini mkataba wa kazi huko private.... umeosoma mkataba wako ?
Au mnapewa kazi kishikaji....
Kama upo mkataba usome utakueeleza jinsi kuacha kazi kwa ridhaa yako,
Sijui huko, lakini kutakuwa kuna kifungu kinahusina na kutoa notisi ya kuacha kazi
Inaweza kuwa notisi ya mwezi au miezi unaendelea nao, ukimaliza ndio unaenda kuanza kazi nyingine
Na utamwambia mwajiri wako mpya nina notisi ya mwezi kwenye kazi yangu kabla ya kuaanza kazi mpya
Au labda naota njozi za mchana... huko mambo yanaenda kimzobe mzobe....