ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Ataj8kojolea na kujamba kabisauna taka kupangia matumizi fedha ambayo haipo kweny mifuko yako?
btw wenye salary za 10M sio wakukurupuka kuja kujitangaza mtandaoni kabla hata ya kuripoti kazini
amka dada usije jikojolea hapo unapo ota ndoto za alinacha
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Wewe ni meneja wa makampuniNaombeni ushauri jamani,
Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.
Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.
Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.Naombeni ushauri jamani,
Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.
Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.
Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
HahahaHao wazungu kutoka UN waliopo pale kambi ya ukimbizi nyarugusu wanalipwa $4500 Kwa mwezi Sasa wewe ni NGO gani kigoma ikulipe million kumi Kwa mwezi? Labda ya wachawi na mizimu
IdiotAlhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.
Hebu lipwa kwanzaaaa ndio uane kubwabwaja hapa mtandaoni hicho 10M ndio unakiona cha maana utakwinyea na utarudi back square one.invest ktk kilimo au ufugaji utanishukuru milele.
Wewe hata uwe na billioni 10 utaendelea kuwa masikini.Naombeni ushauri jamani,
Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.
Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.
Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Hii mil10 ni kwa mwaka au?Naombeni ushauri jamani,
Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.
Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.
Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Wapi kasema mshahara huo ni kwa mwezi?Hao wazungu kutoka UN waliopo pale kambi ya ukimbizi nyarugusu wanalipwa $4500 Kwa mwezi Sasa wewe ni NGO gani kigoma ikulipe million kumi Kwa mwezi? Labda ya wachawi na mizimu
Hao hawana dola 4200Okay,nielezee kidogo hiyo nidhamu nitakayoipata kwenye uislam na itanisaidiaje kuutoroka umasikinì.
Keep in mind,kuna masikini wengi tu wenye nidhamu
Kuna faida ganiKuwa Muislam.
Kutokuwa kondoo.Kuna faida gani
Toa faida za kuwa Muislam km ulivyotoa ushauri kuhusu matumizi ya pesa, sio kutoka nje ya mada husikaKutokuwa kondoo.
Si nimekwambia, kutokuwa kondoo.Toa faida za kuwa Muislam km ulivyotoa ushauri kuhusu matumizi ya pesa, sio kutoka nje ya mada husika
Jibu lako halishawishi kwasababu halina uhalisia zaidi ya uji"nga ulioandika hausiani chochote wala kusaidia kwenye mada, hujambo viherehere km ww mnavyofikiri ni rahisi tu kumshawishi mtu ukidhani kila mtu ni mwepesi, wafundishe wenzako kwanza wapo kibao wanafuga nguruwe na kulaSi nimekwambia, kutokuwa kondoo.
Nini hujaelewa hapo?
Milioni kumi nayo ni pesa?Naombeni ushauri jamani,
Nmetokea familia na ukoo wa uchumi wa chini. Yaani nilikuwa jobless mwenye maisha ya kukaa nyumban kulazimishwa kwenda kanisani.
Alhamdullilah mwezi huu Nimepata kazi NGO moja huko kigoma ambayo ntakuwa nalipwa million 10.
Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti kazini. Naombeni ushauri wa jinsi ya kupanga mipango gani ya kuwekeza kupitia mshahara wangu ili mimi na familia yangu yote, ikiwezekana hata ukoo tuutoroke umasikini daima. Hata nikifukuzwa kazi baadaye nisirudi kwenye haya maisha ya shida.
Kukushawishi kuhusu nini?Jibu lako halishawishi kwasababu halina uhalisia zaidi ya uji"nga ulioandika hausiani chochote wala kusaidia kwenye mada, hujambo viherehere km ww mnavyofikiri ni rahisi tu kumshawishi mtu ukidhani kila mtu ni mwepesi, wafundishe wenzako kwanza wapo kibao wanafuga nguruwe na kula
Hilo nalo neno ATI!!,angeshauriana tu na mwenza kama anae au nduguze,halafu itakuaje mtu wa 10ml aje kuomba ushauri umu??!!Ulishawahi kuona wapi mtu mwenye busala anataka ushauri kwenye mitandao?