Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
naamini mashoga ndio itakuwa changamoto yako ya kwanza. mengine yanavumilika, kama kuitwa chogo, mtu mwenyewe anayekuita chogo amechoka hana hata hela mfukoni anashindia tu chapati na maharagwe.Habari ndugu zangu, kuna kazi nimepata Zanzibar napaswa kuanza soon mwaka huu.
Nimekuja kwenye dilemma ya kwenda au la, ni shirika lililopo bara na kule Zanzibar wana branch yao.
Changamoto za Zanzibar ni zipi na uzuri wake ni upi?
Nyumba bei juu sana, vyakula gharama sana, Binti yangu yupo huko anaueleza acha kbs.Habari ndugu zangu, kuna kazi nimepata Zanzibar napaswa kuanza soon mwaka huu.
Nimekuja kwenye dilemma ya kwenda au la, ni shirika lililopo bara na kule Zanzibar wana branch yao.
Changamoto za Zanzibar ni zipi na uzuri wake ni upi?
Pesa inapatikana? Nina mwanafunzi huko maisha Magumu sana.Mimi naishi Zanzibar mwaka wa 16 huu na metokea bara ,maneno unayooambiwa ni uongo ,changamoto kubwa ni gharama za maisha ziko juu kwa sababu pesa inapatikana kirahisi na ya kutosha ,kama ukihitaji msaada wowote mambie .
Kitimoto haramu ila ipo hadi kwenye hotel za kitalii wanaitoa wapi wale?1.Kulazimishwa kufunga hata kama sio mhusika
2. Kukamatwa na binti wa Kizenji na kusilimishwa kwa nguvu au upelekwe kiinua miguu kutumikia kifungo (kama u mwanaume
3. Kitimoto haramu ila trako suna
4. Vyakula vina viungo viiiiingi visivyo na maana yoyoye ili mradi tu ujisikie uko Oman
Usile hadharani kipindi cha Ramadhan watakuchapa viboko askari wa kiislamu.Habari ndugu zangu, kuna kazi nimepata Zanzibar napaswa kuanza soon mwaka huu.
Nimekuja kwenye dilemma ya kwenda au la, ni shirika lililopo bara na kule Zanzibar wana branch yao.
Changamoto za Zanzibar ni zipi na uzuri wake ni upi?
Pesa inapatikana kirahisi?Mimi naishi Zanzibar mwaka wa 16 huu na metokea bara ,maneno unayooambiwa ni uongo ,changamoto kubwa ni gharama za maisha ziko juu kwa sababu pesa inapatikana kirahisi na ya kutosha ,kama ukihitaji msaada wowote mambie .
Pesa inapatikana lakini lazima mtu awe na ramani kwanza, uyo mwanafunzi anasoma wapi?Pesa inapatikana? Nina mwanafunzi huko maisha Magumu sana.
Shida tupuSita sahau walivyo haribu vyakula vitamu anavyopika wife ,kisa wao wanakula mara mbili kwa siku, morning and night. Unakuta chakula kimepoteza Radha kabisa