Nimepata manzi mtandaoni single mother anaishi ughaibuni, ananishawishi nihame bongo nifanyeje?

Nimepata manzi mtandaoni single mother anaishi ughaibuni, ananishawishi nihame bongo nifanyeje?

Jiridhishe kwanza bei ya viungo vya binadamu ikiwa ipo chini kuliko gharama ya visa anayogharamia. Ikiwa hivyo enda. Vingnevyo..gharama ya safari unajigharamia mwenyewe amehamua kukukopesha nauli. Ila viungo vyako vitarudisha nauli.
Human trafficking
 
Huo ni ushamba wa kutotembea ulaya Canada hakuna ishu Baki bongo endelea na mishe zako k.u.m.a.n.i.n.a
 
Haya maisha kuna muda yana maswali magumu kama sio kigugumizi miezi kama sita sasa nimedate na manzi raia wa canada ila ana asili ya kenya ndoa yake imefeli 2021 na baada ya talaka kutoka akaamua kuishi mwenyewe na watoto wake wawili sasa toka tumeingia kwenye mahusiano muda mwingi ananisisitiza kwenda kuishi kule na kwa msisitizo hata nikitaka nauli na process za visa zote atafanya yeye anachotaka ni kwamba muda wowote niondoke bongo kuanzia sasa tukaishi wote kule.

kila wakati nikiongea naye hili jambo analisisitiza sana nami nimekuwa mgumu kwenye maamuzi hayo maana nina ajira serikalini na rasilimali kadhaa ikiwemo biashara, kila nikitafakari jambo la kuhama nchi akili inanigomea naona naenda kuanza maisha upya umri wangu ni 34 na jambo linalonipa ukakasi kwamba umri huu bado naweza kwenda kutusua kule au ndio kucheza kamari za maisha?

Huku bongo nina watoto wawili ila mama tofauti na ninawahudumia jambo ambalo hata yeye nimemwambia akalipokea na kunielewa.

naombeni ushauri hata matusi ntayapokea. Shukrani.
Mwambie yeye aje bongo
 
fanya hivi usiache kazi omba hata likizo nenda kamtembelee ukiwa na pesa zako kidogo kwa tahadhari kubwa sana ukijiridhisha rudi bongo rudi nitakushauri cha kufanya.
Wakati wote uwapo Canada kuwa makini mno kuliko kipindi chochote kile.Hii sinema ni 50/50
 
Haya maisha kuna muda yana maswali magumu kama sio kigugumizi miezi kama sita sasa nimedate na manzi raia wa canada ila ana asili ya kenya ndoa yake imefeli 2021 na baada ya talaka kutoka akaamua kuishi mwenyewe na watoto wake wawili sasa toka tumeingia kwenye mahusiano muda mwingi ananisisitiza kwenda kuishi kule na kwa msisitizo hata nikitaka nauli na process za visa zote atafanya yeye anachotaka ni kwamba muda wowote niondoke bongo kuanzia sasa tukaishi wote kule.

kila wakati nikiongea naye hili jambo analisisitiza sana nami nimekuwa mgumu kwenye maamuzi hayo maana nina ajira serikalini na rasilimali kadhaa ikiwemo biashara, kila nikitafakari jambo la kuhama nchi akili inanigomea naona naenda kuanza maisha upya umri wangu ni 34 na jambo linalonipa ukakasi kwamba umri huu bado naweza kwenda kutusua kule au ndio kucheza kamari za maisha?

Huku bongo nina watoto wawili ila mama tofauti na ninawahudumia jambo ambalo hata yeye nimemwambia akalipokea na kunielewa.

naombeni ushauri hata matusi ntayapokea. Shukrani.
Jichanganye ukawe mtumwa ughaibuni🤓
 
Watu siku hizi baadhi ni mashetani ukutee anatumia suala la mahusiano yenu kukuvuta
akakukate kichwa au figo
nje ya nchi huna pa kukimbilia ..mweeeee
 
Back
Top Bottom