Nimepata manzi mtandaoni single mother anaishi ughaibuni, ananishawishi nihame bongo nifanyeje?

Jiridhishe kwanza bei ya viungo vya binadamu ikiwa ipo chini kuliko gharama ya visa anayogharamia. Ikiwa hivyo enda. Vingnevyo..gharama ya safari unajigharamia mwenyewe amehamua kukukopesha nauli. Ila viungo vyako vitarudisha nauli.
Human trafficking
 
Huo ni ushamba wa kutotembea ulaya Canada hakuna ishu Baki bongo endelea na mishe zako k.u.m.a.n.i.n.a
 
Mwambie yeye aje bongo
 
fanya hivi usiache kazi omba hata likizo nenda kamtembelee ukiwa na pesa zako kidogo kwa tahadhari kubwa sana ukijiridhisha rudi bongo rudi nitakushauri cha kufanya.
Wakati wote uwapo Canada kuwa makini mno kuliko kipindi chochote kile.Hii sinema ni 50/50
 
Jichanganye ukawe mtumwa ughaibuni🤓
 
Watu siku hizi baadhi ni mashetani ukutee anatumia suala la mahusiano yenu kukuvuta
akakukate kichwa au figo
nje ya nchi huna pa kukimbilia ..mweeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…