Nimepata maumivu makali mno baada ya Ufaransa kushindwa kutwaa ubingwa wa michuano ya kombe la dunia 2022

Mmehuzunika france kukosa kombe au Messi kutwaa kombe?
 
Mmehuzunika france kukosa kombe au Messi kutwaa kombe?
Shida kubwa ni messi kutwaa kombe, now zile thread zao za mess vs ronaldo zitakua hazina mashiko tena
 
Nachukizwa na kushabikia timu sababu ya rangi, ndo mana nimefurahi France kupigwa
 
Pole sana ndo ukubwa huo
 
Maisha yangu yya mpira fainali 2 ziliniuma saana.

Arsenal vs Barcelona 2006
France 🇫🇷 vs 🇮🇹italy 2006
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…