Nimepata mbinu mpya ya kupunguza gharama ya tozo za miamala

Nimepata mbinu mpya ya kupunguza gharama ya tozo za miamala

Kutuma pesa CRDB to CRDB ni bure. Ila kutoa kwenye ATM ni 800 kama sikosei, na kutoa 1m inabidi utoe 400K + 400K + 200K. Mara 3 inakuwa 2400 kwisha habari.
Na lengo la tozo ni kurudisha afya ya mabenk.maana yalikua yanakufa..kaz zao zilihamia kwenye miamala ya simu...wanasahau kuwa technolojia inakua ila wao hawatak badirika...
 
Wazungu wangekuwa wanakwepa hivi kulipa Kodi ( kukatwa Kodi ) sidhani kama nchi zao leo hii zingekuwa na Maendeleo makubwa mpaka Sisi hawa hawa Watanzania ( Waafrika ) wakwepa Kodi na Tozo tunahangaika kutafuta Viza za kwenda huko Kwao.

Tuacheni janja janja hebu tulipeni Kodi.
Mkuu ujue mimi huwa sikuelewi sana wakati mwingine unakuwa mkosoaji na wakati mwingine unakuwa upo upande wao....kimsingi hapo ni kama sijakwepa kodi coz hiyo huduma ipo kihalali na inatumika
 
Mkuu ujue mimi huwa sikuelewi sana wakati mwingine unakuwa mkosoaji na wakati mwingine unakuwa upo upande wao....kimsingi hapo ni kama sijakwepa kodi coz hiyo huduma ipo kihalali na inatumika
Na Siku zote huwa sipendi Kueleweka.
 
Wazungu wangekuwa wanakwepa hivi kulipa Kodi ( kukatwa Kodi ) sidhani kama nchi zao leo hii zingekuwa na Maendeleo makubwa mpaka Sisi hawa hawa Watanzania ( Waafrika ) wakwepa Kodi na Tozo tunahangaika kutafuta Viza za kwenda huko Kwao.

Tuacheni janja janja hebu tulipeni Kodi.
Hayo makato sio kodi ni tozo ya uzarendo ndio maana ni kubwa kuliko pesa inayostahili kulipia kodi
 
Na lengo la tozo ni kurudisha afya ya mabenk.maana yalikua yanakufa..kaz zao zilihamia kwenye miamala ya simu...wanasahau kuwa technolojia inakua ila wao hawatak badirika...
Sidhani kama biashara yao ilikuwa ngumu sana kihivyo ni huyu dr wa uchumi ndio kichwa maji
 
Wazungu wangekuwa wanakwepa hivi kulipa Kodi ( kukatwa Kodi ) sidhani kama nchi zao leo hii zingekuwa na Maendeleo makubwa mpaka Sisi hawa hawa Watanzania ( Waafrika ) wakwepa Kodi na Tozo tunahangaika kutafuta Viza za kwenda huko Kwao na hata Misaada yao ya Kifedha ( Kipesa ) huwa wanatupa kila Uchao.

Tuacheni janja janja hebu tulipeni Kodi.
Kuna
1.Kukwepa kodi (ni kosa kisheria)
2.Kuepuka kodi ni halali kabisa.
Kinachozungumziwa hapa ni kuepuka tozo. Ni sawa na nimwambie mtu usinitumie kwa simu hio 4m kwasababu nitakatwa 18,000 bali mpe bodaboda aniletee au nitumie moja kwa moja kwenye akaunti yangu. Hapa nimeepuka tozo na niko sawa kwa mujibu wa sheria hakuna jinai.
 
Serikali yenu sikivu inakwenda kupiga marufuku matumizi ya hiyo Lipa Namba huku wakiwahimiza wadanganyika kuachana na matumizi ya cash
 
Wazungu wangekuwa wanakwepa hivi kulipa Kodi ( kukatwa Kodi ) sidhani kama nchi zao leo hii zingekuwa na Maendeleo makubwa mpaka Sisi hawa hawa Watanzania ( Waafrika ) wakwepa Kodi na Tozo tunahangaika kutafuta Viza za kwenda huko Kwao na hata Misaada yao ya Kifedha ( Kipesa ) huwa wanatupa kila Uchao.

Tuacheni janja janja hebu tulipeni Kodi.
Uzuri kwa hao wazungu hamna mtu ambaye anadokoa pesa ya serikali na kujineemesha kizembe bila kuwajibishwa😅😅😅

Hapa hizo tozo utakuja kusikia tu kuna mtu kajimilikisha sandarusi kisha watamuita Kisutu ila hafungwi😅
 
Kuna
1.Kukwepa kodi (ni kosa kisheria)
2.Kuepuka kodi ni halali kabisa.
Kinachozungumziwa hapa ni kuepuka tozo. Ni sawa na nimwambie mtu usinitumie kwa simu hio 4m kwasababu nitakatwa 18,000 bali mpe bodaboda aniletee au nitumie moja kwa moja kwenye akaunti yangu. Hapa nimeepuka tozo na niko sawa kwa mujibu wa sheria hakuna jinai.
Very nice explanation chief!
 
Umeifafanua kisomi - tax avoidance vs tax evasion. Yule mwingine anaongea ya kijiweni.
Kuna
1.Kukwepa kodi (ni kosa kisheria)
2.Kuepuka kodi ni halali kabisa.
Kinachozungumziwa hapa ni kuepuka tozo. Ni sawa na nimwambie mtu usinitumie kwa simu hio 4m kwasababu nitakatwa 18,000 bali mpe bodaboda aniletee au nitumie moja kwa moja kwenye akaunti yangu. Hapa nimeepuka tozo na niko sawa kwa mujibu wa sheria hakuna jinai.
 
Wazungu wangekuwa wanakwepa hivi kulipa Kodi ( kukatwa Kodi ) sidhani kama nchi zao leo hii zingekuwa na Maendeleo makubwa mpaka Sisi hawa hawa Watanzania ( Waafrika ) wakwepa Kodi na Tozo tunahangaika kutafuta Viza za kwenda huko Kwao na hata Misaada yao ya Kifedha ( Kipesa ) huwa wanatupa kila Uchao.

Tuacheni janja janja hebu tulipeni Kodi.
Umewahi sikia kodi za wazungu zinatumika hovyo na wanasiasa.
Mimi nikipata chance ya kuikwepa nashukuru aisee.
 
Wazungu wangekuwa wanakwepa hivi kulipa Kodi ( kukatwa Kodi ) sidhani kama nchi zao leo hii zingekuwa na Maendeleo makubwa mpaka Sisi hawa hawa Watanzania ( Waafrika ) wakwepa Kodi na Tozo tunahangaika kutafuta Viza za kwenda huko Kwao na hata Misaada yao ya Kifedha ( Kipesa ) huwa wanatupa kila Uchao.

Tuacheni janja janja hebu tulipeni Kodi.
Wananchi wakiyaona maendeleo awatokwepa kodi.Pili kodi nyingi zinakiuka kanuni ya kodi.Huwezi ukafanya dabo taxation kwa pesa hio hio moja huku ni kuwapora wananchi pesa kinguvu.
Kodi yeyeto ikiwa kubwa itakwepwa tu hii ni principal
 
Bila shaka Mungu ni mwema na ninawasalimu kwa jina la jamuhuri.

Nimeona nishee nanyi wenzangu katika kuwahabarisha kuhusu huduma tajwa hapo juu[emoji115]

Katika kusheherekea na kufurahia ushindi wa simba hapo jana niliona nipombeke kidogo[emoji38]ndipo nikajikuta mzigo kama unakata hivi mfukoni, ikasogea kwa wakala aliyekaribu yangu akanifundisha kaujanja flani hivi ambapo aliniambia nilipe kwa TigoPesa *150*01#(kwa wakati huo nilikuwa na pesa tigopesa) then unaenda namba 5 lipa kwa Tigopesa basi bwana nikajaribu kulipa kama laki moja hivi.

Unajua nini nilikiona, yaani makato ni shilingi mia nane(800). Sikuamini macho yangu hali iliyonifanya nirudi tena kutoa kiasi kama kile kile nilichokitoa pale mwanzo baadae wakati nilipotaka kuondoka na hali ikawa vile vile [emoji849]

Hivyo nikajikuta nimetoa sh.laki mbili(200,000)kwa makato ya Tsh.1600 wakati makato ya kawaida yangekuwa ni Tsh.16,480

Hii tunasema ahsante yule wakala kwa kunisanua nitakuwa ninakwenda kutoa pesa zangu kwake kamseleleko[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].
Mkuu mbinu uliotumia ni yakawaida tu na hata Tigo-pesa wenyewe wanaielewa, wewe hujatoa pesa kutumia namba ya wakala bali ulituma pesa kutumia namba ya simu ya wakala na huwenda ndio account ya namba ya simu ya wakala anayo pokelea pesa toka benki kulipia miamala ya wateja wa TIGO-PESA, na kwa njia hiyo tozo la laki moja ni 1600 bila kodi ya serikali kwa vile ni muamala unaotoka account ya simu kwenda account ya simu.
 
Natamani kujua ile kumtumia asiye na akaunti ya benki, ila akatoe kupitia ATM…. gharama zake zikoje?
Sina uhakika na hilo, lakini kuna sehemu niliona wanasema gharama ni zile zile za ATM kama kawaida. Lakini unaweza kupiga kwao wakupe taarifa
 
Uzuri kwa hao wazungu hamna mtu ambaye anadokoa pesa ya serikali na kujineemesha kizembe bila kuwajibishwa😅😅😅

Hapa hizo tozo utakuja kusikia tu kuna mtu kajimilikisha sandarusi kisha watamuita Kisutu ila hafungwi😅
Wanafunzi hawana hata madawati halafu unasikia kodi yako imetumika kuwajengea majumba na kuwanunulia wastaafu magari.
 
Bila shaka Mungu ni mwema na ninawasalimu kwa jina la jamuhuri.

Nimeona nishee nanyi wenzangu katika kuwahabarisha kuhusu huduma tajwa hapo juu[emoji115]

Katika kusheherekea na kufurahia ushindi wa simba hapo jana niliona nipombeke kidogo[emoji38]ndipo nikajikuta mzigo kama unakata hivi mfukoni, ikasogea kwa wakala aliyekaribu yangu akanifundisha kaujanja flani hivi ambapo aliniambia nilipe kwa TigoPesa *150*01#(kwa wakati huo nilikuwa na pesa tigopesa) then unaenda namba 5 lipa kwa Tigopesa basi bwana nikajaribu kulipa kama laki moja hivi.

Unajua nini nilikiona, yaani makato ni shilingi mia nane(800). Sikuamini macho yangu hali iliyonifanya nirudi tena kutoa kiasi kama kile kile nilichokitoa pale mwanzo baadae wakati nilipotaka kuondoka na hali ikawa vile vile [emoji849]

Hivyo nikajikuta nimetoa sh.laki mbili(200,000)kwa makato ya Tsh.1600 wakati makato ya kawaida yangekuwa ni Tsh.16,480

Hii tunasema ahsante yule wakala kwa kunisanua nitakuwa ninakwenda kutoa pesa zangu kwake kamseleleko[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].
Sawa wewe ulilipa nini kwa wakala
 
Back
Top Bottom