father-xmas
JF-Expert Member
- Mar 23, 2010
- 971
- 1,117
Atanifanyaje?sasa unaogopa nini baada ya wanaume wenzio kuja
Sir Midabwada
Sir Midabwada ujeee!Mja hunena yaujazayo moyo wake mkuu.
Mpishi ataongelea chakula.
Mwalimu ataongelea a e i o u na
mdangaji ataongelea mbinu za kupata madanga😬😬
kumbe unaogopa wanaume wenzio ee!Onyesha tusi moja nililotukana.
Sir Midabwada nilikwambia, amerudi kwenye picha wakati mwenye traaaako lake unapenda niweke, embu sema nae huyu kunguru wa kuzimuAtanifanyaje?
Halafu huchoki kubadili vipicha vya uchi uchi kila saa?
Madanga yako na wake zao saa hizi,ungepumzika ujaribu tena kesho
Nimeishia tu kukuonea huruma unavyohangaika na hivyo vichupi kwa avatar.Sir Midabwada ujeee!
tukana basi mwenye mali anakusoma!Nimeishia tu kukuonea huruma unavyohangaika na hivyo vichupi kwa avatar.
Ushakula leo au wenye waume zao wamebana wasitoke?
mdangaji mtega waume na vipicha vya pisi kali wakati yeye pisi mbovu.tukana basi mwenye mali anakusoma!
Yap ntakua kwenye umri standard wa kuoa6.5 yrs until 2030
Okay [emoji106]Yap ntakua kwenye umri standard wa kuoa
30-31 hapoOkay [emoji106]
Yeah apo unakumatured enough.30-31 hapo
NdioYeah apo unakumatured enough.
Acha kuspread misinformation...it's a coincidenceskia hii, jana nilikuwa napewa stori na dada mmoja anakaribiwa kuolewa
nikamwuliza amempataje mpenzi wake
akanijibu
Dada: nimempata kwenye morning and evening glory nilikuwa naenda kila siku kanisani, kumbe huyo kaka akaniona akanipenda akawa anapima frequency ya kuja kanisani kama na beep au namaanisha
basi baada ya mwaka mmoja akani approach asijue kuwa niko singo mimi tena kwa muda wa miaka 3
tuka exchange namba, tukaanza mawasiliano, baada ya mwaka akaomba wazee wake waje akutane na wazazi wangu!
Money Penny: kwahiyo hamjazini mwaka wote huo?
Dada: hatujazini boss hata ku kiss! nilimwambia nimetoka kwenye very painfull relationship, nimekaa miaka 3 sitaki kusikia kuzini mpaka kwenye ndoa....
ni kweli yale maombi ya morning na evening glory yamenisaidia sana, nilikuwa naenda kwa Bwana Yesu, Bwnaa Yesu akanipa Bwana Mume (My Lord)!
Money Penny: Haya haya sasa! nyie wenzetu mnaendaga wapi kupata waume?
jamani muende kanisani, ohooo! Yesu anatoa waume kama mvua huku Morning Glory!, ila usiende kudanga tu!
Good decisionNdio
skia hii, jana nilikuwa napewa stori na dada mmoja anakaribiwa kuolewa
nikamwuliza amempataje mpenzi wake
akanijibu
Dada: nimempata kwenye morning and evening glory nilikuwa naenda kila siku kanisani, kumbe huyo kaka akaniona akanipenda akawa anapima frequency ya kuja kanisani kama na beep au namaanisha
basi baada ya mwaka mmoja akani approach asijue kuwa niko singo mimi tena kwa muda wa miaka 3
tuka exchange namba, tukaanza mawasiliano, baada ya mwaka akaomba wazee wake waje akutane na wazazi wangu!
Money Penny: kwahiyo hamjazini mwaka wote huo?
Dada: hatujazini boss hata ku kiss! nilimwambia nimetoka kwenye very painfull relationship, nimekaa miaka 3 sitaki kusikia kuzini mpaka kwenye ndoa....
ni kweli yale maombi ya morning na evening glory yamenisaidia sana, nilikuwa naenda kwa Bwana Yesu, Bwnaa Yesu akanipa Bwana Mume (My Lord)!
Money Penny: Haya haya sasa! nyie wenzetu mnaendaga wapi kupata waume?
jamani muende kanisani, ohooo! Yesu anatoa waume kama mvua huku Morning Glory!, ila usiende kudanga tu!
Mbaya ni kitu kilichopo nyuma ya pazia mkuu, social gatherings zimepekea kuwa kimbilio la watu waliopo desperate kupata mchumba/ndoa, na tatizo huja baada ya wao kupata walichotaka wanarudi kwenye tabia ya awali.
Naunga mkono hojaNaunga mkono hoja mkuu, kuna shida kubwa ipo nyuma ya kutafuta mahusiano siku hizi.
Sijawahi kuonana na warembo msikitini. Waislamu wanaogopa kuswali pamoja na wanawake.Hata msikitini wapo wakutosha