Nimepata mchumba kanisani kwenye Morning and Evening Glory, Novemba 2023 naolewa

Nimepata mchumba kanisani kwenye Morning and Evening Glory, Novemba 2023 naolewa

Mimi niko mbali na nyumbani na sijarudi kitambo, hivyo sikutaka kufanya ujuaji ambao sina, nikataka kuuliza waliopo kupata uhalisia mzuri wanieleweshe zaidi.

Na uzuri haya mengine unaweza kuwa na majibu mawili tofauti kutoka kwa watu wawili, na yote yakawa sawa kutegemea na hali zao.
Mashoga wapo ila watu wanaolewa kila siku kama kawaida mkuu.

Sema nikudokeze tu.Siku hizi wanaume hawaowi wanawake wasio na kipato.Hawa wanaolalamika wanaume ni wachache uchumi wao uko ICU😬😬 .Mashoga wanalaumiwa bure
 
Mashoga wapo ila watu wanaolewa kila siku kama kawaida mkuu.

Sema nikudokeze tu.Siku hizi wanaume hawaowi wanawake wasio na kipato.Hawa wanaolalamika wanaume ni wachache uchumi wao uko ICU😬😬 .Mashoga wanalaumiwa bure
wa stendi embu ondoa hii takataka inatuletea virus ya corona!
 
Amina mtumishi
achana na huyu tapeli father-xmas anajifanya mtoto wa mjini kumbe kuku tu la kuzimu!
Wala sina utumishi wowote ila naongea katika uhalisia, nilikua kwenye kikundi cha dini wakati fulani, kwa kipindi kile nilishuhudia ndoa kama sita hivi ingawa hao waoaji na waolewaji kidogo ya dunia waliyamaliza ndio wakaingia kanisani .

Bahati nzuri huwa wakuwa na mahusiano mazuri yenye amani na utulivu +amani.

Kwa sasa hivi kijana anayetaka kuona hafikirii kukutana na mwanamke kwenye baa au clabu au kwenye mitandao au barabarani na pengine hata kijijini kwao ila kanisani au kwenye ishu za kidini huwa anapata wazo la kuoa.
 
Wala sina utumishi wowote ila naongea katika uhalisia, nilikua kwenye kikundi cha dini wakati fulani, kwa kipindi kile nilishuhudia ndoa kama sita hivi ingawa hao waoaji na waolewaji kidogo ya dunia waliyamaliza ndio wakaingia kanisani .

Bahati nzuri huwa wakuwa na mahusiano mazuri yenye amani na utulivu +amani.

Kwa sasa hivi kijana anayetaka kuona hafikirii kukutana na mwanamke kwenye baa au clabu au kwenye mitandao au barabarani na pengine hata kijijini kwao ila kanisani au kwenye ishu za kidini huwa anapata wazo la kuoa.
sawa sawa!
 
Wakishaanza maisha yao ya ndoa baada ya miezi mitatu aje kukupa mrejesho kumbuka kuna pretenders.
sasa pretenders amekaa nae mwaka mmoja kuna pretender wa nini sasa hapo?
hata probationa miezi 6 kazini mtu anajulikana makucha yake!
 
Back
Top Bottom