Anzisha Biashara ya Usindikaji wa Maziwa/ Diary product, Mdau lazima utoke.Kwa kuanzia unaweza anza na bidhaa za Mtindi na Maziwa Fresh.Heshima zenu wakuu.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, ni Mtanzania nnae ishi nchini ufaransa.
Nimebahatika kupata shillingi mil 50 za kitanzania na nahitaji kuwekeza nchini Tanzania.
Je ni fursa zipi nnazo weza kuzipata Tanzania kuweza ili kuimaximize hii pesa ili niweze kuwa Millionaire ndani ya miaka 10 kutoka sasa.?
Asanteni.
NUNUA MITUNGI 15 YA IRYXHeshima zenu wakuu.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, ni Mtanzania nnae ishi nchini ufaransa.
Nimebahatika kupata shillingi mil 50 za kitanzania na nahitaji kuwekeza nchini Tanzania.
Je ni fursa zipi nnazo weza kuzipata Tanzania kuweza ili kuimaximize hii pesa ili niweze kuwa Millionaire ndani ya miaka 10 kutoka sasa.?
Asanteni.
Zichanjishe pesa zako kwenda pesa ya Zimbabwe utakua trillionea kabisa, kama lengo ni u millionea. Kama lengo financial stability na kipato cha kuendelea kaa chini utafiti usiwe na akili za kuchangiwaHeshima zenu wakuu.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, ni Mtanzania nnae ishi nchini ufaransa.
Nimebahatika kupata shillingi mil 50 za kitanzania na nahitaji kuwekeza nchini Tanzania.
Je ni fursa zipi nnazo weza kuzipata Tanzania kuweza ili kuimaximize hii pesa ili niweze kuwa Millionaire ndani ya miaka 10 kutoka sasa.?
Asanteni.
Hili ndiyo wazo pekee nililoliona linaweza kumfanya kuwa milionea ndani ya miaka kumi.nakushauri uwekeze kwenye Miti ya mbao ndani ya hiyo miaka kumi utavuna pesa nzuri sana,u nanunua Miti ya miaka mitatu au mitano
Mfano mkuuWekeza kwenye financial markets kama unataka utoke fasta.
Forex zinakutoa fasta, ukiweka hiyo 50M utakuwa unatengeneza kama 500USD kila siku.
Davion Delmonte Jr.
Hili ndiyo wazo pekee nililoliona linaweza kumfanya kuwa milionea ndani ya miaka kumi.
Mkuu Max kissey sijajua kama unataka kurudi Tanzania moja kwa moja au unataka uje uwekeze then urudi kukomaa na box. Miti ya Mbao na nguzo ukiwekeza hiyo pesa yako baada ya miaka mitano mpaka kumi ni pesa ya kutosha.
Njombe vijijini unaweza kupata ekari moja kwa shilingi elf60, kununua miti na kupanda ni kama elfu 60 tena, kwahiyo utakuwa umewekeza wastani wa laki moja na ishirini kwa heka, hata ukifanya laki mbili ni sawa tu kwa maana utahitaji upimiwe shamba lako, jumlisha na gharama zako na mafuta nk. Ukipanda mti wa nguzo inaingia 1000 kwenye eka, kama umenunua eka mia moja kwa shilingi milioni ishirini inamaana utakuwa na miti yako 100000, mti mmoja wa nguzo bei ya chini shambani ni shilingi 30,000. Kumbuka lazima uwe na mtu wa kuangalia shamba kilamiezi kadhaa kupalilia njia za kuzuiya moto na mambo mengine madogo madogo. Mti wa nguzo ni miaka mitano tu unavuna mzee. Hesabu zingine utapiga mwenyewe mkuu. Pia usisahau kuwaconsult wakulima wengine kama wakina Malila, japo siku hizi simwoni sana humu, sijuwi yuko makete...lol!
3) Nunua mashamba madogo madogo yasizidi ekari 5, weka miundombinu shambani kama (Nyumba, kisima cha maji na weka mazao machache ya kudumu kama miembe, mihogo) kisha piga bei ya juu, halafu tafuta mengine
1) Wekeza kwenye mashamba ya miti ukipata ekari zako 30 - 50 za miti, baada ya miaka kumi utakuwa na 35, ukivuna utakuwa milionea
2) Nunua shamba eneo la jirani na mjini kama ekari 5 au 10, weka maji shambani na mifumo ya maji kwa kilimo cha umwagiliaji na fanya kilimo cha umwagiliaji wa mbogamboga, matunda n,k mwaka mzima, pesa yako itazunguka vizuri kabisa.
Mawazo yenu yanafanana kabisa! Mleta mada afwate huu ushauriNjoo tuwekeze kwenye biashara ya miti kaka... Unanunua shamba lako ekari kadhaa, tunapanda pines kila ekari miti 600.. baada ya miaka kumi na mbili wewe unagongagonga mguu chini na kupiga kamluzi kwa mbali.. ikikomaa kwa sasa mti mmoja si chini ya 20,000.. na mashamba yapo hadi shilingi 100,000 kwa eka Njombe. Mimi nina eka 10 tayari.. Muhimu kuweka fire breaks na kufanya prunning kwa wakati.. huhitaji kugombana na mtu
Katika comments zote.. Huu ushauri umenigusa..hata natamani ningekua na hizo 30 nikawekeza..hio iko vizuri Kuliko pesa zetu Nssf.....Mawazo yenu yanafanana kabisa! Mleta mada afwate huu ushauri
Konda na dereva wakishashiba kilichobaki ndicho atakachoambulianunua coaster uanze biashara ya daladala na pesa zinazobaki wekeza katika kilimo...
Kaka usithubutu kuingiza pesa yako kwenye biashara ya dala dala .Biadhara hiyo inachangamoto nyingi kubwa zaidi umbali na gari inatembea haiendani sawa na kipato inacholeta utajikuta gari inachoka pesa hakuna .Ni rahisi sana biashara hii mdomoni ila ukiingie field hakuna faida.mkuu changamoto kubwa kwenye biashara ya daladala ni ipi,, na je ww ulifanyia wap hyo biashara..kama ni dar njia hipi inalipa sana,,,na malengo kwa siku ni shingap,,, sorry kwa usumbufu kaka
ni kweli kabisa mkuu, mimi Mr. anafuga kuku wa kisasa na ana oda sana ila daladala inalipa but upate route nzuri na dereva mwaminifuMradi mzuri na kupiga pesa haraka bongo ni ufugaji wa samaki na kuku kila mwezi unavuna 8m
atapata pressure kabisaKaka usithubutu kuingiza pesa yako kwenye biashara ya dala dala .Biadhara hiyo inachangamoto nyingi kubwa zaidi umbali na gari inatembea haiendani sawa na kipato inacholeta utajikuta gari inachoka pesa hakuna .Ni rahisi sana biashara hii mdomoni ila ukiingie field hakuna faida.
MKUU SALAAM,
Nipo nimejaa tele, nipo Njombe naotesha miti kama kichaa. Hii project imechukua muda wangu mwingi mkuu,kuanzia January hadi desemba ni mapambano tu. Nimepanua sana, kumbuka inabidi kukagua misitu ya Kilolo, uje misitu ya Mufindi, uje Njombe na umalizie Madaba Songea, unajikuta week mbili zimepotea bila kufika jf kwa washikaji.
Kila nikifungua chaka jipya, Napata fursa nyingine mpya mbele kwa mbele. Karibuni tuoteshe miti ya mbao na tufuge ng`ombe wa nyama.
Duuuh, mkuu mpaka leo si utakuwa na ekari zaidi ya alfu moja!! Hongera sana mkuu.
Hapo Madaba naskia ardhi bado bei chini hebu nidokeze kidogo mkuu, pia naskia wanalima tangawizi, haujajitumbukiza huko tupate mawili matatu?
Shukran
Ishi we vipi, kwani nini maana ya millionaire? Sasa utakuwa millionaire mara ngapi wakati tayari una mamilioni ya shilingiHeshima zenu wakuu.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, ni Mtanzania nnae ishi nchini ufaransa.
Nimebahatika kupata shillingi mil 50 za kitanzania na nahitaji kuwekeza nchini Tanzania.
Je ni fursa zipi nnazo weza kuzipata Tanzania kuweza ili kuimaximize hii pesa ili niweze kuwa Millionaire ndani ya miaka 10 kutoka sasa.?
Asanteni.