Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

leo akimuua gijon kesho anaamka na mil 75.
mny.jpg
 
Heshima zenu wakuu.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, ni Mtanzania nnae ishi nchini ufaransa.

Nimebahatika kupata shillingi mil 50 za kitanzania na nahitaji kuwekeza nchini Tanzania.

Je ni fursa zipi nnazo weza kuzipata Tanzania kuweza ili kuimaximize hii pesa ili niweze kuwa Millionaire ndani ya miaka 10 kutoka sasa.?

Asanteni.
Nicheki inbox nikupe mwanga wa nini maana hasa ya uwekezaji na jinsi sahihi ya kuwekeza! Ili ulicho nacho usije kipoteza
 
Una mpango wa kurudi Tanzania?kama huna mpango wa kurudi fanya biashara hapo ulipo.biashara inataka usimamizi .
 
Heshima zenu wakuu.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, ni Mtanzania nnae ishi nchini ufaransa.

Nimebahatika kupata shillingi mil 50 za kitanzania na nahitaji kuwekeza nchini Tanzania.

Je ni fursa zipi nnazo weza kuzipata Tanzania kuweza ili kuimaximize hii pesa ili niweze kuwa Millionaire ndani ya miaka 10 kutoka sasa.?

Asanteni.
Njoo tufungue kituo cha afya
 
Fungua pharmacy maeneo ya mjin inalipa sana. Mm nimesomea hayo mambo ukiwa interested tuwasiliane 0658047048
 
kama hiyo 50m umeipata ndani ya muda mfupi ukiwa huko ufaransa naona unayo fursa nzuri ukiwa hukoya kuwa miliomea.

au kama unaona unaweza fanya uwekezaji wa muda mrefu jenga nyumba pangisha kula pesa mdogo mdogo....

au baada ya ujenzi iuze kupitia madalali. kama wafanyavyo shirika la nyumba.

japo inaweza kuhitaji uongeze pesa kidogo
NB haya ni maoni yangu tu na sio sheria na nipo tayari kukosolewa kwa lengo la kujifunza zaidi.
Mkeo
Ana shidaaa. .hujaelewaa nini
GARI LA BIASHATA NDIO GARI GANI?
 
Think big!
Yaani boresha mbinu uliotumia kupata hiyo 50m,
Ili hiyo 50m itengeneze 300m, then 300m izae 1billion! Na ndo utaitaitwa millionaire!
Ila kama umepata kwa wizi au mkopo au zawadi njoo pm nikupe mbinu mubashara za kutengeneza pesa!
 
Kama utaweza kuja huku ni vema ukasimamia miradi yako mwenyewe usimuagize mtu, hatuaminiki. Pata gari ya mzigo kargo mfano fuso.
Fanya transit za kubeba vyakula mfano ndizi, viazi, karoti, mchele mbeya dar mpaka zanzibar uwe mtaji wako usitegemee kukodiwa tu. Utatoka vizuri.
Tz bado fursa za kazi zipo shida ni mtaji na vitendea kazi na usimamuzi mbovu. Sisemi ufanye ni ushauri tu.
 
Heshima zenu wakuu.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, ni Mtanzania nnae ishi nchini ufaransa.

Nimebahatika kupata shillingi mil 50 za kitanzania na nahitaji kuwekeza nchini Tanzania.

Je ni fursa zipi nnazo weza kuzipata Tanzania kuweza ili kuimaximize hii pesa ili niweze kuwa Millionaire ndani ya miaka 10 kutoka sasa.?

Asanteni.
njoo tufanye biashara kila month unachukua asilimia 20% ya pesa yako na siku ukiitaka nakukabidhi yote
mfano ukinipa mwezi huu mwezi ujao tarehe ya leo unakula 20% interes ya pesa yako na bado 50millioni yako ipo palepale.
50,000,000/=20% =10,000,000/=
 
Heshima zenu wakuu.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, ni Mtanzania nnae ishi nchini ufaransa.

Nimebahatika kupata shillingi mil 50 za kitanzania na nahitaji kuwekeza nchini Tanzania.

Je ni fursa zipi nnazo weza kuzipata Tanzania kuweza ili kuimaximize hii pesa ili niweze kuwa Millionaire ndani ya miaka 10 kutoka sasa.?

Asanteni.
What is your dream,Fulfil your dream,money is the result.
 
Heshima zenu wakuu.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, ni Mtanzania nnae ishi nchini ufaransa.

Nimebahatika kupata shillingi mil 50 za kitanzania na nahitaji kuwekeza nchini Tanzania.

Je ni fursa zipi nnazo weza kuzipata Tanzania kuweza ili kuimaximize hii pesa ili niweze kuwa Millionaire ndani ya miaka 10 kutoka sasa.?

Asanteni.
Mbona tayari wewe ni milionea,milionea ni MTU anayemiliki mali/utajiri kuanzia milioni moja,labda useme unataka kuwa bilionea
 
NUNUA MITUNGI 15 YA IRYX
MIDOGO X39"000
NUNUA 15 ORYX KUBWA X79"000
NUNUA MAJIKO MAWILI MAKUBWA 68000*2
NUNUA
MIHANINNDOGO 15*35"0000
KUBWA MIHANI 74"000*15
NUNUA REGULATOR TANO KILA OFISI
PIPES MT 60!KILA OFISI

LIPIA FIRE 100"000
LESENI 80"000
TRA
37"000*3
LIPA MFANYAKAZI

NUNUA PIKPIK ZAKO MBILI ZINAMPELEKEA MTEJA NYUMBANI.. GESI..
Security @urownrisk

Frame UKIITAJI NIJULJSHE

VINGINE NTAKUELEKEZA KWA HELA YAKO UNAWEZA FUNGUA SEHEMU NNE UKAMWACHIA MKEO AUHAWARA ANASIMAMIA

NIKAKUPA MTONYO MWINGINE TUKANUNUW HEKA LINDI. MTWARA TULIME REDBULL

Mkuu wewe kichwa sana, utafika mbali kimaisha.
 
Back
Top Bottom