Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

Are you serious?
 
Kwahiyo ili uwe bilionea unatakiwa kuwa na kiasi gani?
 
Scania mende ni milioni 50 ikiwa nje, bado haujaileta bongo ushuru wapige zaidi ya 50m ifike kwenye mia na kitu. Msimpoteze jamaa
.. I'm talking from experience..
 
Mwanzo Uliandika Ulikaa Ufaransa ukapata milioni 50,Mara Hii ume-edit na hainyeshi hata hiyo milioni 50 umepataje,Acha Kutufanya wanaJF MAZWAZWA Sawa? Kama ulikaa UFARANSA Ukapata hizo mil 50 bora uendelee kukaa huko huko au kama mmeuza nyumba ya urithi kumbuka marehemu uenda na chake tunakupa miaka miwili utakuwa huna hata 100.
 
Mkuu hebu tafuta wataalam wakuelekeze vizuri hili ninalotaka kulisema hapa chini!

"Nunua hisa za kampuni za mawasiliano kama Voda ili pesa yako iwe kwenye mzunguko huku unaendelea na majukumu yako ya kila siku huko ufaransa bila kubughudhi ubongo wako kwa mawazo ya kupigwa endapo utaweka biashara na ndugu yako kuisimamia badala yako"

I stand to be corrected!
 
Wekeza kwenye construction business. Mimi mwenyewe nafungua kampuni ya ujenzi. Kuna pesa nyingi sana. Naomba tuwasiliane 0767102102 au wigotz@gmail.com.
 
GARI LA BIASHATA NDIO GARI GANI?
Mkuu naona ni typing Error hiyo na nadhani alimaanisha Biashara. Au unasemaje mkuu Nikuletee Anti-biotics nikuondoe kabisa? maana Plasmodium wepesi sana Kufa ila wabishi kinoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…