Nimepata mshtuko wa uume, nahisi umevunjika au umeteguka

Nimepata mshtuko wa uume, nahisi umevunjika au umeteguka

incredible terminator

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
2,498
Reaction score
4,162
Habari wakuu, hii sio masihara jana usku katika harakati ya kudumisha ndoa nilipata mshtuko wa uume nikahisi umevunjika, hadi saiz unauma na siwezi ku-Erect vizuri ukasimama wima, ila unanyanyuka kidogo na kurud chini, naombeni msaada wa haraka wakuu, Je ni kweli naweza kuwa nimevunjika uume au ni hali ya kawaida utarudi kuwa sawa?

Kama yupo aliewahi kukutwa na hali kama hii anisaidie ni namna gani nifanye au kama kuna tiba ya haraka naombeni msaada, Hapa nimeukanda na maji ya moto tu ila bado sioni ahueni.

Nipo siriaz sitanii nahitaji msaada wa haraka.
 
Hii nimetumiwa na rafiki yangu na imezid kuniogopesha
Screenshot_20230704_211858_Instagram.jpg
 
Habar wakuu, hii sio masihara jana usku katika harakati ya kudumisha ndoa nilipata mshtuko wa uume nikahisi umevunjika, hadi saiz unauma na siwez ku Erect vzuri ukasimama wima, ila unanyanyuka kidogo na kurud chini, naombeni msaada wa haraka wakuu, Je ni kwel naweza kuwa nimevunjika uume au ni hali ya kawaida utarud kuwa sawa?

Kama yupo aliewahi kukutwa na hali kama hii anisaidie ni namna gani nifanye au kama kuna tiba ya haraka naombeni msaada, Hapa nimeukanda na maji ya moto tu ila bado sioni ahueni.

Nipo siriaz sitanii nahitaji msaada wa haraka.
Huo umemaliza mwendo, matumizi yake yaliyobakia ni kukojoa tu.
 
Back
Top Bottom