Nimepata msichana kisa kuwa na App ya JamiiForums

Nimepata msichana kisa kuwa na App ya JamiiForums

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Aisee maisha marahisi sana.

Kuna demu kanisumbua weee mpaka basi.

Ila kuna siku alipoona App ya JamiiForums tu kwenye simu yangu, aah mwenyewe kalainika.

Akaniona bonge la mtu

Akaniambia kumbe una hekima eeh, nikamuuliza kwa nini akanijibu kuwa amefurahi kuiona App ya JF kwenye simu na uwepo wa App wa JF unaonesha nina upeo mkubwa kimawazo kwa sababu watu wasio na upeo wa maisha hawaipendi JF wanaiita ya wazee.

Akaniambia kuanzia leo niite mke wako rasmi nimekukubalia kuishi na wewe kwa hali yoyote ile.
 
Aisee maisha marahisi sana.

Kuna demu kanisumbua weeeee mpaka basi.

Ila kuna siku alipoona App ya Jamii Forum tu kwenye simu yangu ,aah mwenyewe kalainika .

Akaniona bonge la mtu

Akaniambia kumbe una hekima eeh ,nikamuuliza kwa nini akanijibu kuwa amefurahi kuiona App ya JF kwenye simu na uwepo wa App wa JF unaonesha nina upeo mkubwa kimawazo kwa sababu watu wasio na upeo wa maisha hawaipendi JF wanaiita ya wazee.

Akaniambia kuanzia leo niite mke wako rasmi nimekukubalia kuishi na wewe kwa hali yoyote ile.
Dogo umejiunga jana tu JF leo unaanza kuleta uongo wa kipumbavu??

Ukiendelea na tabia hii nakupiga Life ban mpaka kwenye server...

JF sio sehemu ya kuleta mambo ya kitoto

You have been warned!!
 
Dogo umejiunga jana tu JF leo unaanza kuleta uongo wa kipumbavu??

Ukiendelea na tabia hii nakupiga Life ban mpaka kwenye server...

JF sio sehemu ya kuleta mambo ya kitoto

You have been warned!!
Huyo sio wa jana wee Asprin. huyu ni yule mwenye ID mia kidogo, ni HR 666, pia alikuwa anajiita YEEZUS 2 nas ndio yule yule Jordi Pola.
 
Soma tarehe aliyojiunga...
Yeezus 2Member
#1
9 minutes ago

Joined: Yesterday
Messages: 13

Likes Received: 5

Trophy Points: 5
Ni yeye ana ID nyingi sana humu. hadi zingine anaanzisha thread na kujijibu mwenyewe, kuna wakati mods waliamua kuziunganisha kiasi kwamba ukisoma uzi unaweza kucheka mpaka ufe! mfano alianzisha uzi wa HR 666 Hujambo eti uzi umetumwa na YEEZUS halafu mods wakaunga hizo ID mbili yaani unaweza kucheka jinsi alivyokuwa anajijibu mwenyewe . si unaona hata alivyonijibu hapa
Mbeya kazini.
 
Back
Top Bottom