Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fantasykivipi mkuu?
Hahahahahaaaaaaa babu umenichekesha sana ungenifanya nikamatwe maana nimecheka kwa nguvu halafu nipo mahakamaniDogo umejiunga jana tu JF leo unaanza kuleta uongo wa kipumbavu??
Ukiendelea na tabia hii nakupiga Life ban mpaka kwenye server...
JF sio sehemu ya kuleta mambo ya kitoto
You have been warned!!
Mahakamani kunani? Kwani na wewe umepimwa kile kimiminika kinachopitia kwenye via vya uzazi?Hahahahahaaaaaaa babu umenichekesha sana ungenifanya nikamatwe maana nimecheka kwa nguvu halafu nipo mahakamani
Hahahhahahaaaaa babu acha kunichekesha bhana.......nimekuja kucertify my certificatesMahakamani kunani? Kwani na wewe umepimwa kile kimiminika kinachopitia kwenye via vya uzazi?
ha ha ha ha ha babu Asprin ha ha, mkumbushe kidato cha tano wameanza masomoDogo umejiunga jana tu JF leo unaanza kuleta uongo wa kipumbavu??
Ukiendelea na tabia hii nakupiga Life ban mpaka kwenye server...
JF sio sehemu ya kuleta mambo ya kitoto
You have been warned!!
Asa si ungeniletea mimi wakili msomi nikufanyie mambo? Au tunazarauliana kwa kuwa nna ushirikiano sana na kilimo cha matango na matikitiHahahhahahaaaaa babu acha kunichekesha bhana.......nimekuja kucertify my certificates
ha ha ha ha haDuh... anaweza kufikia elimu hiyo?? Si kwa upupu huo asee...
Babu wewe ni mtu special........siwezi kukupa kazi ya kujichosha sasa hiviAsa si ungeniletea mimi wakili msomi nikufanyie mambo? Au tunazarauliana kwa kuwa nna ushirikiano sana na kilimo cha matango na matikiti
Inaonesha n member mzoef sanaNi yeye ana ID nyingi sana humu. hadi zingine anaanzisha thread na kujijibu mwenyewe, kuna wakati mods waliamua kuziunganisha kiasi kwamba ukisoma uzi unaweza kucheka mpaka ufe! mfano alianzisha uzi wa HR 666 Hujambo eti uzi umetumwa na YEEZUS halafu mods wakaunga hizo ID mbili yaani unaweza kucheka jinsi alivyokuwa anajijibu mwenyewe . si unaona hata alivyonijibu hapa
Huyo sio wa jana wee Asprin. huyu ni yule mwenye ID mia kidogo, ni HR 666, pia alikuwa anajiita YEEZUS 2 nas ndio yule yule Jordi Pola.
Hairuhusiwi kuhusianisha ids za watu.Inaonesha n member mzoef sana
HR 666 <[]> Jord Pola??? ngoj niunge dots, jf huwa haidangany
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Kumbe mimi spesho enh??? Ndo nimejua leo...Babu wewe ni mtu special........siwezi kukupa kazi ya kujichosha sasa hivi
nilikuwa napita kama guestUmejuaje na wewe umeingia JF jana!!!!!
poa subir tutakujua tuHairuhusiwi kuhusianisha ids za watu.
Yah ongeza tu ujuzi babu wangu mieKumbe mimi spesho enh??? Ndo nimejua leo...
Ngoja niongoze ujuzi...