Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Sasa sio niongoze ujuzi afu uniangushe...Yah ongeza tu ujuzi babu wangu mie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa sio niongoze ujuzi afu uniangushe...Yah ongeza tu ujuzi babu wangu mie
PUMBAVUUU.Aisee maisha marahisi sana.
Kuna demu kanisumbua weee mpaka basi.
Ila kuna siku alipoona App ya JamiiForums tu kwenye simu yangu, aah mwenyewe kalainika.
Akaniona bonge la mtu
Akaniambia kumbe una hekima eeh, nikamuuliza kwa nini akanijibu kuwa amefurahi kuiona App ya JF kwenye simu na uwepo wa App wa JF unaonesha nina upeo mkubwa kimawazo kwa sababu watu wasio na upeo wa maisha hawaipendi JF wanaiita ya wazee.
Akaniambia kuanzia leo niite mke wako rasmi nimekukubalia kuishi na wewe kwa hali yoyote ile.
Promo za kitotoAisee maisha marahisi sana.
Kuna demu kanisumbua weee mpaka basi.
Ila kuna siku alipoona App ya JamiiForums tu kwenye simu yangu, aah mwenyewe kalainika.
Akaniona bonge la mtu
Akaniambia kumbe una hekima eeh, nikamuuliza kwa nini akanijibu kuwa amefurahi kuiona App ya JF kwenye simu na uwepo wa App wa JF unaonesha nina upeo mkubwa kimawazo kwa sababu watu wasio na upeo wa maisha hawaipendi JF wanaiita ya wazee.
Akaniambia kuanzia leo niite mke wako rasmi nimekukubalia kuishi na wewe kwa hali yoyote ile.
Siwezi kukuangusha babu yangu.......si unajua vile ninavokupendaSasa sio niongoze ujuzi afu uniangushe...
Najua ndo maana najidai...Siwezi kukuangusha babu yangu.......si unajua vile ninavokupenda
Waoooooohhhhh kissesssssssss zikufikie popote ulipo my babuNajua ndo maana najidai...
Thank you.. mmmwah... mambo mengine uwe unanifanyia PM... hapa wanga wengi hawachelewi kuturogaWaoooooohhhhh kissesssssssss zikufikie popote ulipo my babu
Naomba linki ya huo uzi tafadhariNi yeye ana ID nyingi sana humu. hadi zingine anaanzisha thread na kujijibu mwenyewe, kuna wakati mods waliamua kuziunganisha kiasi kwamba ukisoma uzi unaweza kucheka mpaka ufe! mfano alianzisha uzi wa HR 666 Hujambo eti uzi umetumwa na YEEZUS halafu mods wakaunga hizo ID mbili yaani unaweza kucheka jinsi alivyokuwa anajijibu mwenyewe . si unaona hata alivyonijibu hapa
najua tu heading yake inasema HR 666 hujambo?Naomba linki ya huo uzi tafadhari
_ where ever you are remember me_
Sawa nitafanya hivoThank you.. mmmwah... mambo mengine uwe unanifanyia PM... hapa wanga wengi hawachelewi kuturoga
EwaaaDogo umejiunga jana tu JF leo unaanza kuleta uongo wa kipumbavu??
Ukiendelea na tabia hii nakupiga Life ban mpaka kwenye server...
JF sio sehemu ya kuleta mambo ya kitoto
You have been warned!!
Duh, kabla ya kula ile................vaaa vaaaaaAisee maisha marahisi sana.
Kuna demu kanisumbua weee mpaka basi.
Ila kuna siku alipoona App ya JamiiForums tu kwenye simu yangu, aah mwenyewe kalainika.
Akaniona bonge la mtu
Akaniambia kumbe una hekima eeh, nikamuuliza kwa nini akanijibu kuwa amefurahi kuiona App ya JF kwenye simu na uwepo wa App wa JF unaonesha nina upeo mkubwa kimawazo kwa sababu watu wasio na upeo wa maisha hawaipendi JF wanaiita ya wazee.
Akaniambia kuanzia leo niite mke wako rasmi nimekukubalia kuishi na wewe kwa hali yoyote ile.
Kirahisi hivi? Hongera mkuuAisee maisha marahisi sana.
Kuna demu kanisumbua weee mpaka basi.
Ila kuna siku alipoona App ya JamiiForums tu kwenye simu yangu, aah mwenyewe kalainika.
Akaniona bonge la mtu
Akaniambia kumbe una hekima eeh, nikamuuliza kwa nini akanijibu kuwa amefurahi kuiona App ya JF kwenye simu na uwepo wa App wa JF unaonesha nina upeo mkubwa kimawazo kwa sababu watu wasio na upeo wa maisha hawaipendi JF wanaiita ya wazee.
Akaniambia kuanzia leo niite mke wako rasmi nimekukubalia kuishi na wewe kwa hali yoyote ile.