Nimepata msichana kisa kuwa na App ya JamiiForums

Nimepata msichana kisa kuwa na App ya JamiiForums

Aisee maisha marahisi sana.

Kuna demu kanisumbua weee mpaka basi.

Ila kuna siku alipoona App ya JamiiForums tu kwenye simu yangu, aah mwenyewe kalainika.

Akaniona bonge la mtu

Akaniambia kumbe una hekima eeh, nikamuuliza kwa nini akanijibu kuwa amefurahi kuiona App ya JF kwenye simu na uwepo wa App wa JF unaonesha nina upeo mkubwa kimawazo kwa sababu watu wasio na upeo wa maisha hawaipendi JF wanaiita ya wazee.

Akaniambia kuanzia leo niite mke wako rasmi nimekukubalia kuishi na wewe kwa hali yoyote ile.
PUMBAVUUU.
 
Aisee maisha marahisi sana.

Kuna demu kanisumbua weee mpaka basi.

Ila kuna siku alipoona App ya JamiiForums tu kwenye simu yangu, aah mwenyewe kalainika.

Akaniona bonge la mtu

Akaniambia kumbe una hekima eeh, nikamuuliza kwa nini akanijibu kuwa amefurahi kuiona App ya JF kwenye simu na uwepo wa App wa JF unaonesha nina upeo mkubwa kimawazo kwa sababu watu wasio na upeo wa maisha hawaipendi JF wanaiita ya wazee.

Akaniambia kuanzia leo niite mke wako rasmi nimekukubalia kuishi na wewe kwa hali yoyote ile.
Promo za kitoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni yeye ana ID nyingi sana humu. hadi zingine anaanzisha thread na kujijibu mwenyewe, kuna wakati mods waliamua kuziunganisha kiasi kwamba ukisoma uzi unaweza kucheka mpaka ufe! mfano alianzisha uzi wa HR 666 Hujambo eti uzi umetumwa na YEEZUS halafu mods wakaunga hizo ID mbili yaani unaweza kucheka jinsi alivyokuwa anajijibu mwenyewe . si unaona hata alivyonijibu hapa
Naomba linki ya huo uzi tafadhari

_ where ever you are remember me_
 
Aisee maisha marahisi sana.

Kuna demu kanisumbua weee mpaka basi.

Ila kuna siku alipoona App ya JamiiForums tu kwenye simu yangu, aah mwenyewe kalainika.

Akaniona bonge la mtu

Akaniambia kumbe una hekima eeh, nikamuuliza kwa nini akanijibu kuwa amefurahi kuiona App ya JF kwenye simu na uwepo wa App wa JF unaonesha nina upeo mkubwa kimawazo kwa sababu watu wasio na upeo wa maisha hawaipendi JF wanaiita ya wazee.

Akaniambia kuanzia leo niite mke wako rasmi nimekukubalia kuishi na wewe kwa hali yoyote ile.
Duh, kabla ya kula ile................vaaa vaaaaa

Naomba ukuu wa Wilaya nilitumikie Taifa
 
Aisee maisha marahisi sana.

Kuna demu kanisumbua weee mpaka basi.

Ila kuna siku alipoona App ya JamiiForums tu kwenye simu yangu, aah mwenyewe kalainika.

Akaniona bonge la mtu

Akaniambia kumbe una hekima eeh, nikamuuliza kwa nini akanijibu kuwa amefurahi kuiona App ya JF kwenye simu na uwepo wa App wa JF unaonesha nina upeo mkubwa kimawazo kwa sababu watu wasio na upeo wa maisha hawaipendi JF wanaiita ya wazee.

Akaniambia kuanzia leo niite mke wako rasmi nimekukubalia kuishi na wewe kwa hali yoyote ile.
Kirahisi hivi? Hongera mkuu
 
Back
Top Bottom