Nimepata mtoto wa kiume. Je, nimuite John Pombe Magufuli?

Mie wa kwangu tayari nilishampa jina la Magufuli.
 
Msihi na kumuuliza Roho Mtakatifu kama unamwamini atakuja jina zuri lenye kuendana na hatima yake Mungu alomuwekea.
 
Yaani mtoto umuite john pombe Magufuli kwa maana hiyo hana hata baba eti
 
Inashauriwa kabla mtoto hajazaliwa jina liwe limeandaliwa na wazazi mnalijua baba na Mama .

Yesu alipewa jina kabla,

Yohana vivyo hivyo n.k
 
Unapata wapi muda wa kuandika yote haya! Maelezo meeengi! Kichwa cha habari kinataka tu jina la mtoto wako! By the way, jina la mtoto huchaguliwa na nyinyi wazazi wa mtoto husika! Au ndugu wako wa karibu, mfano bibi, babu, shangazi, nk.

Haya mambo ya kutaka watu baki wakuchagulie jina la mtoto wako, naona kama ni la kujimwambafai tu! Au ndiyo umepata mtoto kwa mara ya kwanza nini!!
 
Mama anasema hana nafasi za kuwapa waramba miguu kama ilivyokuwa awamu ya 5.

Pole sana maana naona umeweka na CV zako ila umesahau kuweka na ulivyo jitahidi kwa miaka 6 kuramba miguu bila mafanikio ya kupata uteuzi.
 
Gazeti
 
Ama kweli mataga wamechukua akili za huyu jamaa daaaaa
Bia yetu,johnthebaptist,kawe alumni,
Hebu mje huku mchukue msukule wenu huu pelekeni milembe huko maana sio muda ataanza okota makopo bureeeeee
😂😂😂😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…