Nimepata mtoto wa kiume. Je, nimuite John Pombe Magufuli?

Fanya hivyo na haya mapambio yako huku yaishe, uwe unamuangalia Magufuli wako nyumbani.
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
🍷

Mtanikumbuka Kwa Mazuri Lakini Siyo Mabaya
Nawaangalia Halafu Nasema Hii Bhaghosha
😁😀😂😃🖒😅😆😆Nawa ~~Zoom
JPM
 
Mm naongeazea na jina la utani Jiwe huku ukimalizia na maneno 'maendeleo hayana chama'
 
Muite hilo jina atajua kuongea kiingereza mapema,akikua arithi kuua watu na ukibaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…