Nimepata mtoto wa kiume. Je, nimuite John Pombe Magufuli?

Afadhali umwite Nyalandu.
 
Mbadilishe na mke wako jina kabisa muite Janet!
 


Mtoto umezaa na mama mtoto wako, nyie ndio mtaamua aitweje.. ila kama imekupendeza hivyo

Mwite: JOHNPOMBE MAGUFULI MBENA

Nimemkumbuka: FIDEL CASTRO ODINGA
 
ulipaswa kuwa mganga wa kienyeji wewe...na elimu yote unayojigamba nayo kumbe ni JOBO tu.....
 
Unaweza kumuita John bila kuongeza maneno mengine kule mbele.
Kama ni 'Job' uishie hapo usiendelee kule mbele, au kama ni 'lazaro' uishie hapo hapo.
Kuna majina mengine ukimpa mtoto ni kama laana atakuwa hivyohivyo mfano; Adolf hitler au musolini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…