Nimepata mtoto wa kiume

Nimepata mtoto wa kiume

Mungu ni mwema.

Siku chache zilizopita nimejaliwa mtoto wa kiume.

Mama na mtoto ni wazima.

Namuandalia kadi yake kabisa ya CCM.

Ngoja nipunguze siasa kidogo maana nina hamu ya kumuona akigraduate na kufanya mambo yake.
Hongera sana kamarada 👍

Mwenyezi Mungu atukuzuie vyema na kumpa afya njema ,akili pevu ,ungangari na ushujaa wa kuja kuwa faida kwa familia ,majirani na kwetu watanzania wote ,aaamin aaaamin🙏

Nimefurahi kuwa unamuandalia kadi ya chama chetu bora ,kudos👍

#Siempre JMT🙏
#Siempre CCM🙏
 
Hongera sana kamarada 👍

Mwenyezi Mungu atukuzuie vyema na kumpa afya njema ,akili pevu ,ungangari na ushujaa wa kuja kuwa faida kwa familia ,majirani na kwetu watanzania wote ,aaamin aaaamin🙏

Nimefurahi kuwa unamuandalia kadi ya chama chetu bora ,kudos👍

#Siempre JMT🙏
#Siempre CCM🙏
Amina na asante sana comrade.
 
Hongera sana.

ila mpaka awe mtu mzima ccm itakuwa historia kama kanu.

ukumbuke kumtengenezea mazingira ya kiimani kwanza.

pia jitahidi umlee kwa jasho lako sio kwa hela ya rushwa, ufisadi. na dhuluma maana ccm hela zenu hamzipati nje ya hapo.
 
Hongera sana.

ila mpaka awe mtu mzima ccm itakuwa historia kama kanu.

ukumbuke kumtengenezea mazingira ya kiimani kwanza.

pia jitahidi umlee kwa jasho lako sio kwa hela ya rushwa, ufisadi. na dhuluma maana ccm hela zenu hamzipati nje ya hapo.
Imani ni muhimu sana.

Hilo ni la kwanza kabla ya mengine.
 
1649702155453.png

Ushetani upi ?!!! 😲😲
 
Back
Top Bottom