Nimepata mtoto wa kiume

Mungu ni mwema.

Siku chache zilizopita nimejaliwa mtoto wa kiume.

Mama na mtoto ni wazima.

Namuandalia kadi yake kabisa ya CCM.

Ngoja nipunguze siasa kidogo maana nina hamu ya kumuona akigraduate na kufanya mambo yake.
Hongera sana kamarada πŸ‘

Mwenyezi Mungu atukuzuie vyema na kumpa afya njema ,akili pevu ,ungangari na ushujaa wa kuja kuwa faida kwa familia ,majirani na kwetu watanzania wote ,aaamin aaaaminπŸ™

Nimefurahi kuwa unamuandalia kadi ya chama chetu bora ,kudosπŸ‘

#Siempre JMTπŸ™
#Siempre CCMπŸ™
 
Amina na asante sana comrade.
 
Una uhakika gani huyo mtoto ni wako mzee baba ☺️
Kwani kuna mwanaume mwenye uhakika huoπŸ’―%?!!!

Ubaba ni HESHIMA tunayopewa na wake zetu......

Mtoto aliyezaliwa kitandani kwa STROKE unataka awe wa nani ?!!!!😲😲
 
Jongera mkuu
Mm ninao wawili hapa home 7&4 yrs
Wanakula balaa
Jitahidi kufanya kazi kwa bidii ugali usikosekane mezani
Nitazingatia ushauri wako mkuu.
 
Hongera sana.

ila mpaka awe mtu mzima ccm itakuwa historia kama kanu.

ukumbuke kumtengenezea mazingira ya kiimani kwanza.

pia jitahidi umlee kwa jasho lako sio kwa hela ya rushwa, ufisadi. na dhuluma maana ccm hela zenu hamzipati nje ya hapo.
 
Hongera sana.

ila mpaka awe mtu mzima ccm itakuwa historia kama kanu.

ukumbuke kumtengenezea mazingira ya kiimani kwanza.

pia jitahidi umlee kwa jasho lako sio kwa hela ya rushwa, ufisadi. na dhuluma maana ccm hela zenu hamzipati nje ya hapo.
Imani ni muhimu sana.

Hilo ni la kwanza kabla ya mengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…