QUALIFIED BIOLOGY TEACHER
Member
- Oct 27, 2024
- 33
- 277
- Thread starter
- #21
Kaka Asante
Sana kwa ushauri mzuri, Kuna fursa nikeziona nyingi sana, ila issue jikwamba zinahitajika pesa ili niweze kuzi cultivate hizo fursa. So nahitaji sehemu nipate capitalNilichogundua katika maelezo yako.
Akili yako ime focus zaid katika suala la kuajiriwa kuliko kutafuta fursa zingine tofauti na ajira.
Kitaa kina fursa nyingi Sana ila ni wachache wenye uwezo wa kuzitumia, kila uchwao Kuna watu kitaani jua linawawakia na wengine wanazidi kustawi hapo tofauti inakuja katika swala la mitizamo na kuchangamkia fursa.
One of the worst ever mistake I made in my life ni kujitolea Tena enzi zile maafisa elimu wanapita mashuleni kuchukua majina ya waliojitolea ili wapewe kipaumbele kwenye ajira za 2020 guess what, Hadi sasa Nina mwaka wa saba Niko mtaani (Chem & bios).
Kilichoniokoa nilifanya maamuz magumu nikapiga chini kujitolea baada ya kukosa ajira, japo Kuna watu walinishauri niwe na subira lakini niliamini zaidi katika njia zangu.
Hadi sasa japo sijatoboa kimaisha ila angalau familia yangu inaishi vizuri na huenda labda nisingejitolea ningekuwa nipo mbali kidogo.
Wangu ni ushauri ila fuata nn moyo wako unapenda, huenda huna muelekeo kimaisha sawa lakini akili yako haijafika mwisho kiasi kwamba umeshindwa kuziona fursa, ila ni kwamba hujaamua kuzitumia vyema.