Nimepata nafasi ya kujitolea miezi minne. Je, nichukue fursa au niachane nayo?

Kaka Asante
Sana kwa ushauri mzuri, Kuna fursa nikeziona nyingi sana, ila issue jikwamba zinahitajika pesa ili niweze kuzi cultivate hizo fursa. So nahitaji sehemu nipate capital
 
Kaka Asante

Sana kwa ushauri mzuri, Kuna fursa nikeziona nyingi sana, ila issue jikwamba zinahitajika pesa ili niweze kuzi cultivate hizo fursa. So nahitaji sehemu nipate capital
Wakati mwengine Bahati katika maisha Ina nafasi japo asilimia zaidi ya 90 ya matokeo katika maisha yetu yanatokana na jitihada maarifa ubunifu na kutokukata tamaa,
Kama hauna ramani yoyote kajitolee ila trust me miezi minne ni muda mwingi Sana kuipoteza regardless wamekuhakikishia ajira, kwa maisha ya mtaan miezi minne hata kwa bodaboda tu yoyote anayejua kazi yake anauwezo wa kupiga hatua kubwa.
Ushauri wangu nenda kajitolee ila akili yako iwe inachanganua fursa kitaani, ukipata fursa yoyote kitaani hata Kama umejitolea kwa wiki mbili nakushauri kimbilia fursa, japo mambo sio marahis ila kitaa kikikubali hutakaa uwaze kuhusu ajira, kujitolea ni zaidi ya utumwa ndugu hasa staff members wakijua wewe ni wakujitolea utapigishwa mzigo hatar mixer na madharau Kama una roho ndogo unaweza ukapata sonona.
 
Uende ukafanye kazi ,sio kujifanya uko dillema kumbe ndiyo nyie mnatuibia kuku wetu ili mpate vocha za kuwahonga videmu vyenu.

Sasa uko dillema vipi huna kazi na chance imepatikana unaanza kujiwazisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…