Nimepata pigo la love

Dah asante Sana lakn me binadam na hisia pia, nashindwa nimekaa Sana naogopa kuzini,
Umri wako bado sana, na nadhani kwasasa kungonoka usiweke kama kipaumbele kwenye maisha yako.
Tafuta shughuli ya kufanya ama anza kuchoma vitumbua kama Mwajuma nichokonoe. Kama ni mwanaume wa ndoa atakuja pindi utakapo pevuka vya kutosha, otherwise mabazazi tutakudanganya na tukuharibu tu humu.....
 
Una miaka 22 ushaumizwa na mapenz [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ulikurupuka sana
 
Yan miaka 22 umeumizwa ad umechoka huu mchezo umeuanza ukiwa na miaka 12 bas
Alafu ukiona hauumii tena kwenye mapenz bas ushakua Malaya
 
Pole Sana jamani
 
Bitch on fleek, et miaka 22 umeshaumizwa Mara kibao loh
Ushauri wangu ni kwamba wanaume wa mtaani kwako wameshskudharau wameona wewe ni chawote kwani wewe unaonekana kwenye game kitambo!
Hama hilo eneo nenda mbali ukifika kule okoka,hapo wanaume wenye vigezo hivyo watakuja!
Ila kwangu Mimi wewe ni Malaya!
 
Kama bado una miaka 22 na umechezewa sana si utakuwa umeanza kumegwa ulipoachishwa tu ziwa.
 
Take a break from dating.

Put your self first. Date yourself, fall in love with yourself... Take time to heal and to let go of your fears and worries.

Exhale the bad memories, inhale the goodness of life and the beauty of youth. You have your whole life ahead of you don't let it be clouded by memories of bad relationships.

In the meantime, focus on other aspects of your life. Career wise, education wise.... haven't you ever wished to pursue a degree.... or have a hobby on the side that can make you earn some extra cash.

This could be the right time for all that. Mahusiano yapo mbona....
 
Haya kaka
 
Tamaa zenu ndo zinazo waponza. Unataka kudandia mwanaume mwenye tayari ana maisha yake mazuri unasahau kuwa "hakuna mwanaume aliye endelea /kuwa na maisha mazuri akakosa mwanamke nyuma yake" matokeo yake anakukula akikuchoka anarudi to his origin.


Note that "nje tunafuata ngono tu, mipango ya maisha tunapanga na wake zetu chumbani"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…