Umri wako bado sana, na nadhani kwasasa kungonoka usiweke kama kipaumbele kwenye maisha yako.Dah asante Sana lakn me binadam na hisia pia, nashindwa nimekaa Sana naogopa kuzini,
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nilijua huwa badhi ya maswali yanapaswa yajibiwe kwa utulivu mkubwaAmeshafanya kama ulivyosema.
Kamwandiko kazuri,Jamani kuandika unaandikaje kwan
Una miaka 22 ushaumizwa na mapenz [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ulikurupuka sanaMwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Yan miaka 22 umeumizwa ad umechoka huu mchezo umeuanza ukiwa na miaka 12 basMwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Pole Sana jamaniMwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Kama bado una miaka 22 na umechezewa sana si utakuwa umeanza kumegwa ulipoachishwa tu ziwa.Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Very unfair comment.Si ufe kama unaona umeumizaa sana?
Don't be too judgemental.Kama bado una miaka 22 na umechezewa sana si utakuwa umeanza kumegwa ulipoachishwa tu ziwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama bado una miaka 22 na umechezewa sana si utakuwa umeanza kumegwa ulipoachishwa tu ziwa.
Haya kakaMiaka 22
Umekaa 2 yrs bila mahusiano
Umemaliza kidato cha nne
Tufanye umemaliza ukiwa na 19 yrz
Harafu umeumizwa mara kibao
Kwa kifupi wewe ni kicheche,umeanza kutafunwa ukiwa mdogo sana, tafsiri ya kuumizwa mara kibao maana yake umekuwa kwenye mahusiano mengi,
Kama siyo chai,basi umri ni changamoto kwako,kila lakheri
Hivi huwa kinabana eeh, ngoja nimtafuteMiaka miwili hujapigwa mti?
So, sasa hivi kitu kimebana kama cha mtoto mchanga eeh?
Ebu nitunuku hio nafasi bibie nijilie vitamu