umewaza very criticallyUna umri wa mwaka 22, alafu umesha umizwa mara kibao....[emoji53] [emoji53] [emoji45] [emoji45]
Hapa nawaza kwamba ulianza kuchakazwa ukiwa na mwaka ngapi..[emoji134]
Anyway...... nilikua nawaza tu maana nimetoka kwenye jumuiya hapa
Hizo nywele umesuka wapi? nataka kumpeleka wifi yako naye apendeze.Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Sio kweli kivp sasa.So kweli
Hujawahi umiza na wewe?Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Ungekuwa huombi ombi hela ningekutongozaMwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Mimi sio babu nakukaribisha tufanye maishaElimu yangu ni form4 tu vigezo vya mwanaume ni yyt ila asiwe Babu
24 years nipm mwenyewe ntaamini upo siriazMwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Ukute mtu mwenyewe Kilomita zimesoma sana, umeshusha injini mara kibao alaf unatafuta rubani wa ndege [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea na mafundi gereji
Na wasuuza virungu, lolPole humu kuna watuma PM tu
Miaka22 ndo unakata tamaa unakuja kutafuta awa matapeli wa jf? Mmh kila la heri ila ungevumilia wenzio tumeolewa na miaka 30 na nlikuwa sion shida kusubiri muda ufike mungu anipe wa kunipa heshima na mimiMwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Na uzuri anaojiaminia ni uzuri wa namna ganiZaidi ya uzuri na umri una vigezo gani tena?
Umedate na wangapi wakakuumiza ukiwa na umri wa miaka 20 kushuka chiniMwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
pole sana bintiMwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke