Nimepata pigo la love

Nimepata pigo la love

Una umri wa mwaka 22, alafu umesha umizwa mara kibao....[emoji53] [emoji53] [emoji45] [emoji45]
Hapa nawaza kwamba ulianza kuchakazwa ukiwa na mwaka ngapi..[emoji134]
Anyway...... nilikua nawaza tu maana nimetoka kwenye jumuiya hapa
umewaza very critically
 
Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Hizo nywele umesuka wapi? nataka kumpeleka wifi yako naye apendeze.
 
New ID member wa zamani..eti member since 29 october 2018 ...una siku 3 JF hahahahahah. Rudi kwenye ID ya siku zote bwan
 
Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Hujawahi umiza na wewe?
 
Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Ungekuwa huombi ombi hela ningekutongoza
 
Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
24 years nipm mwenyewe ntaamini upo siriaz
 
Una miaka 22 na unamiaka 2 hujadate na boy mhhh unaleta ukakasi ndani ya nafsi yang

Wish u all the best
 
Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Miaka22 ndo unakata tamaa unakuja kutafuta awa matapeli wa jf? Mmh kila la heri ila ungevumilia wenzio tumeolewa na miaka 30 na nlikuwa sion shida kusubiri muda ufike mungu anipe wa kunipa heshima na mimi
 
Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Umedate na wangapi wakakuumiza ukiwa na umri wa miaka 20 kushuka chini
 
Miaka 22
Umekaa 2 yrs bila mahusiano
Umemaliza kidato cha nne
Tufanye umemaliza ukiwa na 19 yrz
Harafu umeumizwa mara kibao
Kwa kifupi wewe ni kicheche,umeanza kutafunwa ukiwa mdogo sana, tafsiri ya kuumizwa mara kibao maana yake umekuwa kwenye mahusiano mengi,
Kama siyo chai,basi umri ni changamoto kwako,kila lakheri
 
Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
pole sana binti

Unapatikana wapi
 
Back
Top Bottom