Nimepata pigo la love

Nimepata pigo la love

Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Kuandika tu hujui mapenzi ya dhati unayajua Kweli ?
 
miaka 22 mbona bado your still young usiharakishe ndoa hivyoo jipe muda.

22 umekaa miaka miwili bila mahusiano so ukiwa na 20 ndo ulisitisha mahusiano. umedate ukiwa na umri mdogo ulikuwa hujui nini unataka na mpaka sasa hujui nini unataka.

jipe muda mdogo wangu changamoto za mahusiano bado hujaziona rangi yake halisi hizoo ulizo kutana nazo ni trailer tu.
Dah asante Sana lakn me binadam na hisia pia, nashindwa nimekaa Sana naogopa kuzini,
 
Miaka 22 tu ushavurugwa hivyo je ukifika 32? Acha kuwa seheme ya majaribio. Try play hard to catch. Na ukioatwa usiweke matumaini yako yote some time siyo mbaya kuwa na rafiki zaidi ya mmoja ukiwachunguza tabia zao kabla hujaamua.

Nakumbuka hii ya kuwa na rafiki zaidi ya mmoja nilifundishwa ba mwalimu wa bible school enzi hizo.
 
Miaka 22
Umekaa 2 yrs bila mahusiano
Umemaliza kidato cha nne
Tufanye umemaliza ukiwa na 19 yrz
Harafu umeumizwa mara kibao
Kwa kifupi wewe ni kicheche,umeanza kutafunwa ukiwa mdogo sana, tafsiri ya kuumizwa mara kibao maana yake umekuwa kwenye mahusiano mengi,
Kama siyo chai,basi umri ni changamoto kwako,kila lakheri
 
Usijali mdogo wangu fatuma, take care, m sidhan kama waoaji tumepotea kiasi cha kutafuta online. sanasana huku utawapata watakaoendeleza walipoushia waliotangulia kukutenda, jitahidi kuwa na mwenendo na tabia nzuri, heshima kwa kila mtu, mtaan hapohapo wapo watakaokolea, ila pengine sasa hivi wanaadimika kwakua unaishi maisha ya kiinstagram
 
Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini na miaka22 natafuta mwanaume ambay yupo serious na maisha anayejua kutafuta, anayejua dhamani ya mwanamke
Umeanza mapenzi ukiwa na miaka mingap? 22 yrz na umeumizwa mara kibao

Ushaur wangu tuliza akili fanya elimu utapata mume bora
 
Dah asante Sana lakn me binadam na hisia pia, nashindwa nimekaa Sana naogopa kuzini,

ndo maana nikakwambia jipe muda apoo sababu yakutaka ndoa ni ili usizini.

jaribu kutengeneza mazingira hisia zisitawale ubongo wako utafanya maamuzi yenye majuto.

mapenzi ni uvumilivu wa ukichaa usisahau pia hili mapenzi ni vita ya kiakili.
 
Back
Top Bottom