Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
- Thread starter
- #241
Haya tulia basi.Tena. Mimi nataka rafiki kama mtoa mada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya tulia basi.Tena. Mimi nataka rafiki kama mtoa mada.
Kwani si umeniambia nkutaftie mwenye tabia kama zangu?? Sasa mbona bado unahangaika tu huko??
Egg twins[emoji28]Looks like
Ulinielewa I hopeTena. Mimi nataka rafiki kama mtoa mada.
Hahahahhaah usiangukie mule ssa... Aliteseka episode zote[emoji23]Nazikumbukaaaaa sana sana. Ndio zile zile mzeee
Huyu ngoja nimfikirie na niongee nae kwanza anipe ahadi halafu ntakushtuaHa ha ha wewe unaomba papuchi
Anataka anicross breed namuona tu[emoji28]Namuonaaaa
Kuna mmoja nilitaka ajaribu kukataa mbele ya umati kama si rafiki angu.. Si amekula kona bwana[emoji23]
Basi msalimie yule aliyeukumbatia moyo wakoJamani my.
Mimi nina my zangu wengi ujue...
Hapana yapo very contaminated... Yatakiwa ya magadi/kikwetu ikati[emoji13]Maji ya bahari yanakuhusu.
Sawa myBasi msalimie yule aliyeukumbatia moyo wako
Hapana yapo very contaminated... Yatakiwa ya magadi/kikwetu ikati[emoji13]
Hahahhahaha gundu ni prolonged one.... Hiyo tunaweza sema ni more of transition[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hivi ndiyo inaitwa "gundu"?
Sawa my
Wewe tuliaaaaa hawa watakuchanganyaaa. Nawajua mie hawaWewe sitaki. Bora nikose rafiki. Ha ha ha ha.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwifwa unanifurahisha sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hongera sana mkuu kwa kumpata rafiki mwema. Nimeipenda sana hiyo. Huu ni mwanzo au mwendelezo wa JF tunayoihitaji. Big Up mkuu na kongole kwake huyo "rafiki".Nasisitiza wajameni, nimepata rafiki hapa JF.
Moja ya malengoo ya kuwepo kwenye platforms kama hizi ni kuongeza idadi ya marafiki ambao wanaweza kukuongoza vyema katika mambo mbali mbali na kukufanya pia ufurahie uwepo wao. Maisha ni mafupi sana na hatuna budi kufurahia kila sekunde ya maisha yetu mbali na changamoto nyingi tulizonazo. Of course najua vyuma vimekaza.
Nimepata rafiki ambae aiseee tunaendana nahisi. Upstairs anaonekana yuko njema sana! Anaonekana ni muelewa na nafurahia kuwa rafiki yake.
Sikuwahi kudhani kwamba hapa JF kuna watu aina yake maana wengi mnaokumbana huko PM baada ya muda mchache wanaanza kuleta story za pesa and alike. Huyu anaonekana ni mtu anajiweza na hana mpango hata kidogo na hata senti moja yangu.
I enjoy chatting with her, yaani tumekutana bila ya kuweka mabandiko ya natafuta rafiki wala nini.
Wanangu ambao mnatafuta marafiki na wenye hamu ya kupata marafiki wenye akili zao basi msikate tamaa wala msilazimishe sometimes maana him michezo haitaki hasira.
Thank you pal for being there for me.
Why?? We are sooo different you can't imagineHe ha ha ha ila jamani wanaume.
Baba yenu ni mmoja.
Hahahhahaha gundu ni prolonged one.... Hiyo tunaweza sema ni more of transition[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]