Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
- Thread starter
- #221
Kwani too inawezekanaga?? Ndio mnafanya hivi?? Aiseee nyie watuMfanye awe mpenzi wako mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani too inawezekanaga?? Ndio mnafanya hivi?? Aiseee nyie watuMfanye awe mpenzi wako mkuu.
Kazi kweli kweli. Sisi ambao hatujui kusifia tutaambulia manyoya tuuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Utanisifia kama huyo?
Hakuna urafiki kati ya dume rijali na mtoto wa kike. Unless ni urafiki wa Delicious na Amber Rutty.Hizi fikra za wengi hizi. Sisi mbona hatupo huko jamani. Ningeweza tu kusema nimepata mpenzi. She is a friend
Rafiki hawezi kuleta za kukuomba ngawira ila mtu ambaye anajua wewe unataka K yake na yeye anataka hela yako, you meet and trade. Thats what we call prostitution.........
Sikuwahi kudhani kwamba hapa JF kuna watu aina yake maana wengi mnaokumbana huko PM baada ya muda mchache wanaanza kuleta story za pesa and alike. Huyu anaonekana ni mtu anajiweza na hana mpango hata kidogo na hata senti moja yangu.
.............
Utanisifia kama huyo?
Pamoja sanaSafi sana
Pamoja mkuuHongera
Naam najua kuwa kumsifia binti hapa JF ni njia rahisi ya kuibanjua K yakeUtanisifia kama huyo?
Hahahahaha. Mjifunze sasa.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kazi kweli kweli. Sisi ambao hatujui kusifia tutaambulia manyoya tuuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kweli???Ila Mimi niko tofauti sana
Dua lako la kuku hilo mzeeKikubwa mkikorofishana msitujazie nyuzi mmalizane wenyewe
Urafiki hautaki hela [emoji23][emoji23][emoji23]Kwani wewe una fwedhaaa?
Looks likeWakipata timeline itawasaidia sana
Urafiki hautaki hela [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naam najua kuwa kumsifia binti hapa JF ni njia rahisi ya kuibanjua K yake
Nazikumbukaaaaa sana sana. Ndio zile zile mzeeeUnazikumbuka harakati za pimbi? [emoji38][emoji38]
Uzuri kile kichwa hakina ubongo mkuu... Kukicontrol rahisi kama kukamua limao[emoji28]Kweli???
NamuonaaaaUchokozi huu sasa[emoji85]
Ewaaa tulisafiri na malori ya mbao kutoka Congo tunasema lwaaa frakataa[emoji13][emoji13][emoji13]Hapo penyewe
Kwani si umeniambia nkutaftie mwenye tabia kama zangu?? Sasa mbona bado unahangaika tu huko??Tena wewe ndiyo sitaki kabisa.teh