Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Hizi fikra za wengi hizi. Sisi mbona hatupo huko jamani. Ningeweza tu kusema nimepata mpenzi. She is a friend
Hakuna urafiki kati ya dume rijali na mtoto wa kike. Unless ni urafiki wa Delicious na Amber Rutty.

Sasa naomba kwa ridhaa yako nithibitishe kuwa unasololea K.

.........

Sikuwahi kudhani kwamba hapa JF kuna watu aina yake maana wengi mnaokumbana huko PM baada ya muda mchache wanaanza kuleta story za pesa and alike. Huyu anaonekana ni mtu anajiweza na hana mpango hata kidogo na hata senti moja yangu.
.............
Rafiki hawezi kuleta za kukuomba ngawira ila mtu ambaye anajua wewe unataka K yake na yeye anataka hela yako, you meet and trade. Thats what we call prostitution
 
Back
Top Bottom