FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,548
Hapana mkuu... Ukishuka kidogo kutoka kichwan kuna mkunjo kidogo kuingia kwenye shingo, vivyo mpaka miguun kuna mikunjo...Ndiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu... Ukishuka kidogo kutoka kichwan kuna mkunjo kidogo kuingia kwenye shingo, vivyo mpaka miguun kuna mikunjo...Ndiyo.
Picha la hii sired limeishia hapa.Bado mzaee!
Na hatuna haraka maana we are friends na tunawasiliana tu fresh
Hapana mkuu... Ukishuka kidogo kutoka kichwan kuna mkunjo kidogo kuingia kwenye shingo, vivyo mpaka miguun kuna mikunjo...
Hujanipata nafikiri, hakuna barabara inayokosa kona, hakuna mto unaokosa kona, hakuna bahar inayokosa mikunjo.... These are our life true tellers that there is no such a thing as perfectionism.Mimi nipo tofauti kama rafiki wa mtoa mada. Nimenyooka.
Hujanipata nafikiri, hakuna barabara inayokosa kona, hakuna mto unaokosa kona, hakuna bahar inayokosa mikunjo.... These are our life true tellers that there is no such a thing as perfectionism.
Karibu mkuu[emoji1488]Nilikuelewa sana mkuu. Pia asante kwa explanation
Nashukuru kwa kukupata wewe.Nilikuelewa sana mkuu. Pia asante kwa explanation
Mm ni Rafiki wa Dhati kabisa. No time to pretendSina hakika kama naweza kujisemea. Ila napenda marafiki, not pretenders
Haina nouma kakaHahahaha anijibie yye... Wwe utakaa kama mpambe[emoji28]
Nashukuru kwa kukupata wewe.
Upo??
Karibu mkuu[emoji1488]
So do I allowed to celebrate[emoji847]
Nategea sikio jibu lakeMimi nataka rafiki aliye nyooka hana makato kato. Utaweza?
Nashukuru kwa kunisifia. Maana....In-law !!! in-law, hadi nimesikia moyo umepiga shwaaaaa! Nafurahi pia kukupata wewe rafiki tena handsome. Naringa haswa.
Nipo mkuu, mzima?
And its weekend then[emoji1494][emoji1735]Karibu sana mkuu.
Hii movie soon itanogaaaaa.Are sure umenyooka kuanzia unywele mpka unyayo?
Nategea sikio jibu lake
Why mzaee???Picha la hii sired limeishia hapa.
Ivi mpoto kapotelea wapi... Kuna mashairi flan nayamis mkuuHaina nouma kaka