HahahahahaNipo mlala hoi mwenzio hapa, sema kazi zetu ngumu hata kuchat shida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaNipo mlala hoi mwenzio hapa, sema kazi zetu ngumu hata kuchat shida
[emoji120][emoji120]I agre with you 1500%
Why nottogether we have made it and I hope people have enjoyed. Does it qualify to be a thread of the year??
Mimi inabidi nianzie chini kwenda juu.This thread is very interesting. I have been reading replays from late evening till now
Sisi wengine tunaingia tuishieni hadi jumamosiSomewhere on this world its weekend boss... Kesho ndio tunalianzisha kibongo bongo.
Mimi inabidi nianzie chini kwenda juu.
Loooh poleni, then Sunday prayers. But am sure there is some precious moment somewhere.. Even though it cant be seen with the naked eyes. Remember kazi na dawa like 3°C.Sisi wengine tunaingia tuishieni hadi jumamosi
Yes. Shemeji.Awamu hii inasifiwa pochi siyo.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kupigana chenga huko vipi. Ila mi naamini kupigana chenga kunakuja pale mnapokuwa mmetongoza lakini kama ni normal friends hii sio tabu. Ila hakuna mtihani mkubwa kama kukutana na mtu ambaye mlikuwa mnachat afu mkawa wapenzi humo humo ktk uchatiji...[emoji1]Wapo wanaojielewa,ila kuwa makini kama hamjaonana au kujuana kitaswira;kwa sababu unaweza kujipa matumaini labda yupo hivi au vile mwisho wa siku mnaonana mnaanza kupigana chenga.
ha ha ha ha ha[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kupigana chenga huko vipi. Ila mi naamini kupigana chenga kunakuja pale mnapokuwa mmetongoza lakini kama ni normal friends hii sio tabu. Ila hakuna mtihani mkubwa kama kukutana na mtu ambaye mlikuwa mnachat afu mkawa wapenzi humo humo ktk uchatiji...[emoji1]
ha ha ha ha ha
Wengine ma konki mistress...mmeshakutana? manake wengine ni makonki master
Upo friend???Pole sana hapo alikosea sana aisee siku hizi humu Kuna ma nkonki yanadaganya sijui Ili iweje
Vyuma mzeeHiz sifa sio za bure. Awamuu hii mtu anakuita handsome. Noma saaana. Awamu hii kila mtu ni mzee. Mzee baba sumbai.
Sema nini... mimi sitaki kukupoteza.
Kama??Ivi mpoto kapotelea wapi... Kuna mashairi flan nayamis mkuu
Ilikuwaje?Usicheke! Mi ishanitokea, ni zamani sana ila bado nakumbuka ile khali...[emoji1][emoji1][emoji1]
Hii ndio sawa sasaHahaaaaa pole mkuu ungemuvumilia tu mi wakikutana naye jf si conside sura walah as long as yuko vzuri tabia njema
Eeeeee maana sura hata mbuzi wanazoAwamu hii inasifiwa pochi siyo.
Vipi kwanuka???