Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Sisi wengine tunaingia tuishieni hadi jumamosi
Loooh poleni, then Sunday prayers. But am sure there is some precious moment somewhere.. Even though it cant be seen with the naked eyes. Remember kazi na dawa like 3°C.
 
Wapo wanaojielewa,ila kuwa makini kama hamjaonana au kujuana kitaswira;kwa sababu unaweza kujipa matumaini labda yupo hivi au vile mwisho wa siku mnaonana mnaanza kupigana chenga.
 
Wapo wanaojielewa,ila kuwa makini kama hamjaonana au kujuana kitaswira;kwa sababu unaweza kujipa matumaini labda yupo hivi au vile mwisho wa siku mnaonana mnaanza kupigana chenga.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kupigana chenga huko vipi. Ila mi naamini kupigana chenga kunakuja pale mnapokuwa mmetongoza lakini kama ni normal friends hii sio tabu. Ila hakuna mtihani mkubwa kama kukutana na mtu ambaye mlikuwa mnachat afu mkawa wapenzi humo humo ktk uchatiji...[emoji1]
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kupigana chenga huko vipi. Ila mi naamini kupigana chenga kunakuja pale mnapokuwa mmetongoza lakini kama ni normal friends hii sio tabu. Ila hakuna mtihani mkubwa kama kukutana na mtu ambaye mlikuwa mnachat afu mkawa wapenzi humo humo ktk uchatiji...[emoji1]
ha ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom