Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Kweli.
sasa hivi teknolojia iko vizuri,mnatumiana picha,video kabla ya kuonana.....na mnapokuja kuonana kunakuwa hakuna mshituko;sio mtu unajiendea tu mwisho wa siku unakutana na kibwengo
 
Nothing is there to fear mzee babaaaa


wewe relief mkeo umemshirikisha hili suala?nakumbuka uliwah sema mkeo mnaaminiana sana sana na amejifungua kwa operation ...na mnapendana sana sana...khaa! hv kuna urafiki wa mwanamkw na mwanaume...umenichosha...naoendaga kusikia men akiri anampenda na kumheshi.u mkewe..kumbe nawe wale walw😏😏😏😏
 
Back
Top Bottom