OMARY RAMADHANI
Senior Member
- Mar 6, 2014
- 172
- 182
Nawaona dagaa wakifurahia mwanga wa karabai bila kujua kama wamo mtegoni..........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Budah??I trust yah budah... [emoji1488]
Mzee wa fursaSubiri ukakutane na yaliyomo,
Usisahau kuleta mrejesho tu.
Hahaa,Mzee wa fursa
Muhimu saaana. MkuuuHahaa,
Namtahadharisha ndugu yetu, maana sifa kama zote kumbe hata kuonana bado.
sasa hivi teknolojia iko vizuri,mnatumiana picha,video kabla ya kuonana.....na mnapokuja kuonana kunakuwa hakuna mshituko;sio mtu unajiendea tu mwisho wa siku unakutana na kibwengo
Gotta problem with it?Budah??
Hongera mkuu
Itanibidi nifungue Uzi wa kutafuta marafiki wa kiume aisee..maana niliokua nao wameoa na wako busy na ndoa zao
Amen[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Thank you much! May joy and love enlighten my life, May joy and love enlighten yours as well.
Ahsante mkuu. Uwe makini tuHongera mkuu
Itanibidi nifungue Uzi wa kutafuta marafiki wa kiume aisee..maana niliokua nao wameoa na wako busy na ndoa zao
Unapoanza na khofu ndio unapokwama mzee. Nyie wa mjini si ndio mnasema uoga wako ndio umaskini wako au??Hahaa,
Namtahadharisha ndugu yetu, maana sifa kama zote kumbe hata kuonana bado.
Mzaeee!! Ya kusemwa kwa yule mtu nishasema. Labda tu sasa ajifanye hataki kusikiaUnasubiri nn sasa. Usisahau kunitag
Mzaeee!! Ya kusemwa kwa yule mtu nishasema. Labda tu sasa ajifanye hataki kusikia
Umeona sasa. Hebu tumrudishe sunday school tumfunze aelewe.Biblia inasema ole wake aifanyae shingo yake kuwa ngumu
Ukiona kuna wanaokupa tahadhari ujue yashawakuta watu, usijiamini sanaUnapoanza na khofu ndio unapokwama mzee. Nyie wa mjini si ndio mnasema uoga wako ndio umaskini wako au??
Nothing is there to fear mzee babaaaaUkiona kuna wanaokupa tahadhari ujue yashawakuta watu, usijiamini sana
Ule msemo wa wagombanao ndiyo wapatanao umejidhihirisha...
Tulianza kama wagombanao...
Nothing is there to fear mzee babaaaa