Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
- Thread starter
- #541
Manengelo. Hivi ukioa unakatazwa kuwa na marafiki?? Mimi nimesoma kidogo vitabu vya dini vinazungumzia nini kuhusu rafiki. Hivi tunafahamu kwamba in real life sometimes marafiki wana-play part kubwa kuliko ndugu?? Hususan hawa ndugu wetu wa kiswahili (ndugu lawama).wewe relief mkeo umemshirikisha hili suala?nakumbuka uliwah sema mkeo mnaaminiana sana sana na amejifungua kwa operation ...na mnapendana sana sana...khaa! hv kuna urafiki wa mwanamkw na mwanaume...umenichosha...naoendaga kusikia men akiri anampenda na kumheshi.u mkewe..kumbe nawe wale walw😏😏😏😏
This friend of mine nimedisclose kwake kila kitu and she respects it. You are just thinking negative. I have friends and we maintain friendship.