Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Nimepata rafiki na sitaki kumpoteza

Nasisitiza wajameni, nimepata rafiki hapa JF.

Moja ya malengoo ya kuwepo kwenye platforms kama hizi ni kuongeza idadi ya marafiki ambao wanaweza kukuongoza vyema katika mambo mbali mbali na kukufanya pia ufurahie uwepo wao. Maisha ni mafupi sana na hatuna budi kufurahia kila sekunde ya maisha yetu mbali na changamoto nyingi tulizonazo. Of course najua vyuma vimekaza.

Nimepata rafiki ambae aiseee tunaendana nahisi. Upstairs anaonekana yuko njema sana! Anaonekana ni muelewa na nafurahia kuwa rafiki yake.

Sikuwahi kudhani kwamba hapa JF kuna watu aina yake maana wengi mnaokumbana huko PM baada ya muda mchache wanaanza kuleta story za pesa and alike. Huyu anaonekana ni mtu anajiweza na hana mpango hata kidogo na hata senti moja yangu.

I enjoy chatting with her, yaani tumekutana bila ya kuweka mabandiko ya natafuta rafiki wala nini.

Wanangu ambao mnatafuta marafiki na wenye hamu ya kupata marafiki wenye akili zao basi msikate tamaa wala msilazimishe sometimes maana him michezo haitaki hasira.

Thank you pal for being there for me.

Sasa umeshakula mzigo??? kama bado urafiki wenu una maana gani sasa????? nakushauri kama bado hujamgonga,mgonge vizuri...hao viumbe hawaeleweki....over!
 
Bado mzaee!

Na hatuna haraka maana we are friends na tunawasiliana tu fresh

Duh...we kweli boya mkuu......naona amekutumia picha za kwenye whatsap umepagawa...hizo usiziamini mkuu na wakiongea kwenye simu duh sauti kama malaika gani sijui..ni nyororo balaa..sasa onana naye Live..anyway, kama analipa gonga kama ni kimeo sepa.....otherwise chenga nyingi hapo....mimi nimekuwa mpole humu JF sababu katika mademu 12 wa JF , watatu tu ndiyo walikuwa na nafuu kwa mbaali wengine nilitokomea kusikojulikana
 
Duh...we kweli boya mkuu......naona amekutumia picha za kwenye whatsap umepagawa...hizo usiziamini mkuu na wakiongea kwenye simu duh sauti kama malaika gani sijui..ni nyororo balaa..sasa onana naye Live..anyway, kama analipa gonga kama ni kimeo sepa.....otherwise chenga nyingi hapo....mimi nimekuwa mpole humu JF sababu katika mademu 12 wa JF , watatu tu ndiyo walikuwa na nafuu kwa mbaali wengine nilitokomea kusikojulikana
Yaani nawaza halafu nachekaaaaa. Halafu namshkuru Mungu
 
I am sure ameona ulivyomuita jina baya hilo. Usimhukumu mtu, I am sure she feels bad right now kwamba kwa sababu ya kuwa rafiki na Mimi kuna mtu anam-regard kama shetani. It's not fair mate, na itakuwa busara kama hii sorry utamwambia yeye. She doesn't deserve that from you. You don't know her, can I say you attacked her??

samahani wewe dada!nisamehe sana sana !peace
 
Nasisitiza wajameni, nimepata rafiki hapa JF.

Moja ya malengoo ya kuwepo kwenye platforms kama hizi ni kuongeza idadi ya marafiki ambao wanaweza kukuongoza vyema katika mambo mbali mbali na kukufanya pia ufurahie uwepo wao. Maisha ni mafupi sana na hatuna budi kufurahia kila sekunde ya maisha yetu mbali na changamoto nyingi tulizonazo. Of course najua vyuma vimekaza.

Nimepata rafiki ambae aiseee tunaendana nahisi. Upstairs anaonekana yuko njema sana! Anaonekana ni muelewa na nafurahia kuwa rafiki yake.

Sikuwahi kudhani kwamba hapa JF kuna watu aina yake maana wengi mnaokumbana huko PM baada ya muda mchache wanaanza kuleta story za pesa and alike. Huyu anaonekana ni mtu anajiweza na hana mpango hata kidogo na hata senti moja yangu.

I enjoy chatting with her, yaani tumekutana bila ya kuweka mabandiko ya natafuta rafiki wala nini.

Wanangu ambao mnatafuta marafiki na wenye hamu ya kupata marafiki wenye akili zao basi msikate tamaa wala msilazimishe sometimes maana him michezo haitaki hasira.

Thank you pal for being there for me.
Mtaje, vinginevyo ni wangu pia nachati nami huyohuyo
 
Hapana mi nataka kujua wamewezaje kudumu hadi sasa hivi maana mimi nikipata rafiki wa kiume humu jf haizidi miezi 6 tushakwaruzana
Badili eneo la tukio..njoo kitaa huku wamejaa telee👯..ukapotezea ile ishu kawaida yako
 
Back
Top Bottom