FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,548
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]yeee ndaoooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]yeee ndaoooooo
Nasisitiza wajameni, nimepata rafiki hapa JF.
Moja ya malengoo ya kuwepo kwenye platforms kama hizi ni kuongeza idadi ya marafiki ambao wanaweza kukuongoza vyema katika mambo mbali mbali na kukufanya pia ufurahie uwepo wao. Maisha ni mafupi sana na hatuna budi kufurahia kila sekunde ya maisha yetu mbali na changamoto nyingi tulizonazo. Of course najua vyuma vimekaza.
Nimepata rafiki ambae aiseee tunaendana nahisi. Upstairs anaonekana yuko njema sana! Anaonekana ni muelewa na nafurahia kuwa rafiki yake.
Sikuwahi kudhani kwamba hapa JF kuna watu aina yake maana wengi mnaokumbana huko PM baada ya muda mchache wanaanza kuleta story za pesa and alike. Huyu anaonekana ni mtu anajiweza na hana mpango hata kidogo na hata senti moja yangu.
I enjoy chatting with her, yaani tumekutana bila ya kuweka mabandiko ya natafuta rafiki wala nini.
Wanangu ambao mnatafuta marafiki na wenye hamu ya kupata marafiki wenye akili zao basi msikate tamaa wala msilazimishe sometimes maana him michezo haitaki hasira.
Thank you pal for being there for me.
Bado mzaee!
Na hatuna haraka maana we are friends na tunawasiliana tu fresh
Aisee labda alikuwa anataniaWewe unaomba kwa muda gani? Au hauombi kabisa?
FursaJamaa yupo fasta sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ko mm ambae siombi haraka jeee
Kweli kabisa rafiki haombi papuchi labda ukwame sana[emoji2] [emoji2]Rafiki hatakiwi kuomba papuchi.
MhhhhSasa umeshakula mzigo??? kama bado urafiki wenu una maana gani sasa????? nakushauri kama bado hujamgonga,mgonge vizuri...hao viumbe hawaeleweki....over!
Yaani nawaza halafu nachekaaaaa. Halafu namshkuru MunguDuh...we kweli boya mkuu......naona amekutumia picha za kwenye whatsap umepagawa...hizo usiziamini mkuu na wakiongea kwenye simu duh sauti kama malaika gani sijui..ni nyororo balaa..sasa onana naye Live..anyway, kama analipa gonga kama ni kimeo sepa.....otherwise chenga nyingi hapo....mimi nimekuwa mpole humu JF sababu katika mademu 12 wa JF , watatu tu ndiyo walikuwa na nafuu kwa mbaali wengine nilitokomea kusikojulikana
I am sure ameona ulivyomuita jina baya hilo. Usimhukumu mtu, I am sure she feels bad right now kwamba kwa sababu ya kuwa rafiki na Mimi kuna mtu anam-regard kama shetani. It's not fair mate, na itakuwa busara kama hii sorry utamwambia yeye. She doesn't deserve that from you. You don't know her, can I say you attacked her??
Mkuu Naomba tuanzie apa kuwathibitishia umma kama urafiki wa kweli upooooHongera mkuu. Mitandao ya kijamii inachukuliwa vibaya ila marafiki wa kweli wapo pia huku. Ni jambo Jema kupata mtu unayeweza kushare nae
There you go! please do that.Mkuu Naomba tuanzie apa kuwathibitishia umma kama urafiki wa kweli upoooo
Apology accepted on behalf of a friend.samahani wewe dada!nisamehe sana sana !peace
✌Apology accepted on behalf of a friend.
Ahsante mkuuhuu urafiki huu nahisi ni kati ya me na ke coz hakuwezi kuwa na shangwe hivi
aya marafiki hongereni
Mtaje, vinginevyo ni wangu pia nachati nami huyohuyoNasisitiza wajameni, nimepata rafiki hapa JF.
Moja ya malengoo ya kuwepo kwenye platforms kama hizi ni kuongeza idadi ya marafiki ambao wanaweza kukuongoza vyema katika mambo mbali mbali na kukufanya pia ufurahie uwepo wao. Maisha ni mafupi sana na hatuna budi kufurahia kila sekunde ya maisha yetu mbali na changamoto nyingi tulizonazo. Of course najua vyuma vimekaza.
Nimepata rafiki ambae aiseee tunaendana nahisi. Upstairs anaonekana yuko njema sana! Anaonekana ni muelewa na nafurahia kuwa rafiki yake.
Sikuwahi kudhani kwamba hapa JF kuna watu aina yake maana wengi mnaokumbana huko PM baada ya muda mchache wanaanza kuleta story za pesa and alike. Huyu anaonekana ni mtu anajiweza na hana mpango hata kidogo na hata senti moja yangu.
I enjoy chatting with her, yaani tumekutana bila ya kuweka mabandiko ya natafuta rafiki wala nini.
Wanangu ambao mnatafuta marafiki na wenye hamu ya kupata marafiki wenye akili zao basi msikate tamaa wala msilazimishe sometimes maana him michezo haitaki hasira.
Thank you pal for being there for me.
meeyah mpana ww😅Urafiki unaendeleaje mkuu?
Hapana mi nataka kujua wamewezaje kudumu hadi sasa hivi maana mimi nikipata rafiki wa kiume humu jf haizidi miezi 6 tushakwaruzanameeyah mpana ww😅
Badili eneo la tukio..njoo kitaa huku wamejaa telee👯..ukapotezea ile ishu kawaida yakoHapana mi nataka kujua wamewezaje kudumu hadi sasa hivi maana mimi nikipata rafiki wa kiume humu jf haizidi miezi 6 tushakwaruzana