Nmetaja sua na ardhi maana hao ndio wana unique course ambazo nyng hazpatkan East Africa nzma bali Tanzania tuMUHAS nako vp?
UDSM nadhani wanawiki 2 tangu waondoke. WI nimewaona tangu Ijumaa wanaondoka!Uko chuo gani na level ipi? Hivi kuna vyuo wameshamaliza mitihani na kutoa matokeo mpaka sasa?
Hakuna sababu ya watu kukufariji.Wanaofarijiwa ni wale wanaofeli kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao,kama magonjwa.Wewe umeandaa kufeli kwako mwenyewe,you have to learn the hard way.You are the architect of your own failure,so swallow your failures and learn to start afresh.Yoyote yale ya kunifariji sio ya kuniumiza
Labda anamaanisha CHUO CHA TAKWIMU, pale Changanyikeni!Shule haikupendi tafuta kazi nyingine ufanye.
Ulisema nyie ni wajanja na hamfeli mnasoma weekdays na weekends mnakula bata na maksi ukataja. Nafkiri ushamba wa mitandao na kujiamini sana kumekuponza. Bora ukasomee ualimu au hamia cbe
Maisha ya chuo raha kusoma mwisho alhamis ,ijumaa mpaka j pili tunakesha club
DUHHH SAFI SANA ALIJITAPA SASA YAKO SHINGONIUlisema nyie ni wajanja na hamfeli mnasoma weekdays na weekends mnakula bata na maksi ukataja. Nafkiri ushamba wa mitandao na kujiamini sana kumekuponza. Bora ukasomee ualimu au hamia cbe
Maisha ya chuo raha kusoma mwisho alhamis ,ijumaa mpaka j pili tunakesha club
mbona umeing'ang'ania hiyo link ,sielewi be open unamaanisha nini?
NonsenseHuyu DOGO akirudi kujibu hoja zake za nyuma na utumbo wa Leo mnistue. Nalala kwanza.
Ila huu utoto ifikie mahali mods waufanyie kazi
Naimani hawezi kurudi tena maana uzi wake nimeuwekea evidence za upuuzi wake.
Wakuu EGM au CBG nishaurini wapi niende
Jf inafanywa kama kijiwe cha watoto.
Nashukuru mkuuKufeli kupo ndugu yangu ila kama unafeli na kukata tamaa basi hata huko utakoenda pia utashindwa mana huna hari ya upambanaji .kuwa mwanaume kweli shika kitabu kuanzia sasa soma acha upuzi jiandae na supp mie nishaona MTU mwenyew sup 5 na akachomowa zote .cheti hakitengenezwi kwa semist au mwaka 1 utapandisha tu GPA yak badae jiamini ( pata supp ili uelewe zaidi) kaza butu kaka ndo ukubwa
huko mbeleni je hali itakuaje kwenye ajira kama cheti chako kina supKufeli kupo ndugu yangu ila kama unafeli na kukata tamaa basi hata huko utakoenda pia utashindwa mana huna hari ya upambanaji .kuwa mwanaume kweli shika kitabu kuanzia sasa soma acha upuzi jiandae na supp mie nishaona MTU mwenyew sup 5 na akachomowa zote .cheti hakitengenezwi kwa semist au mwaka 1 utapandisha tu GPA yak badae jiamini ( pata supp ili uelewe zaidi) kaza butu kaka ndo ukubwa
Mkuu hizo ni post za muomba ushauri ambaye mnajihangaisha kunshauriChuo gani mkuu
Course work ya A nilipata kwenye somo moja ambalo ndilo miongoni mwa masomo niliyofauluWatz ni wavivu kufanya reference kuna siku huyu mtoa mada anasema amepata course work A......bado anasema amepata sup 5 kiujumla haeleweki na yy mwenyewe hajielewi anafanya nn
Supp haiandikwi kwenye cheti ,C ndo itaandikwa ila tu kama ulisapuahuko mbeleni je hali itakuaje kwenye ajira kama cheti chako kina sup
Ivi kweli mkuu unaamini kuna chuo kimetoa matokeo UE hivi sasa? Mitahani imeisha juzi tu. Sasa haya matokeo ni ya nchi gani?Kwanza nakupongeza mana inaonekana una high self esteem, chamsingi komaa hizo semister zilizobaki japo hujasema upo mwaka wa ngapi na semister gani
Shukrani mkuuKwa ufaulu huo ulistahili kudisco kabisa hvyo kama utapata fursa ya kusupp itumie vzr...
Relax hzo ni challenge tu za maisha huwez kuzikimbia hzo maana hata huku mtaan ukileta ujuaji maisha yatakupiga supp mapenz yatakupa supp kila kitu kitakupga supp kinachotakiwa ni kujikaza usiwe na moyo legelege kila siku utakua wa kulialia tu...
Just peak urself up and keep on goin...
Ukitaka kurukia mbali zaid lazma urud nyuma kidogo ndio uruke ndicho kilichokukuta umesharud nyuma kidogo jitahid uruke mbali zaid...
Mwenyew nlishaandikiwa disco chuo nkalialia wakaruhus nisapue from there onwards nmefanya wonders mpka najiogopa...
Isitoshe hata ukimaliza kusoma bado utaambiwa nenda kajiajiri so bora aanze kujiajiri mapema kabla ya kuambiwa na serikaliLive hapo hana namna . hana budi kutafuta Alternative nyingine maana maisha sio kusoma tu bali kuna ishu nyingi za kufanya