Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Wewe sio wa kwanza kukutana na msala wa SUP mdogo wangu muhimu kaza msuli toa vimeo ivyo,sijajua uko chuo gani maana vyuo vingine hapo usha-disco ujue ila ukipata chance ya kuendelea hakika unatoka muhimu weka mkazo kwenye shule.
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia<br />Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .<br /><br />Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa<br /><br />Na kufeli hatufeli<br />Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82<br /><br />Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
 
Mitihani imeisha juzi juzi tu hapa mara na matokeo yameshatoka? Subiri kusapua mwezi wa tisa, I can't imagine semester ijayo usapu matano tena.... Discontinue nje nje
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia<br />Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .<br /><br />Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa<br /><br />Na kufeli hatufeli<br />Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82<br /><br />Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
 
j insia please
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia<br />Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .<br /><br />Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa<br /><br />Na kufeli hatufeli<br />Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82<br /><br />Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Nakopesha sumu ya Panya kutoka India..
 
GPA ikoje maana kama DMS below 1.8 umedisco na kwa uzoefu wangu watu wana Fanya zote utakuta katonazo vizuri soma na pitia zire paper za UE
 
Umelikoroga wewe, pole aisee vip bata nyingi kule eti eeh,
 
Samahani mkuu,sup tano si ni disco proper hiyo au,kwa upande mwingine pole next time be serious
 
Samahani mkuu,sup tano si ni disco proper hiyo au,kwa upande mwingine pole next time be serious
Aiseee maisha matamu sana hasa ukiweza kujipangilia<br />Mm na wanangu kuanzia jumatatu mpaka alhamisi tunasoma kama hatuna akili timamu yani msuli heavy .<br /><br />Ila babaa kuanzia ijumaa mpaka jumapili ni mwendo wa bataaa mwanzo mwisho yani bampa tu bampa<br /><br />Na kufeli hatufeli<br />Course work inasoma furesh mm nimepata 70 ,mwanangu mwengine kagonga 62 ,mwingine 68 halafu mwingine 82<br /><br />Lakini cha ajabu wale ambao wanakesha class wamelamba 45 ,wengine 50 na kitu wachache ndio wametukaribia
 
Samahani mkuu,sup tano si ni disco proper hiyo au,kwa upande mwingine pole next time be serious
[quote uid=385789 name="HR 666" post=19780069]Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma<br /><br />Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana<br /><br /><br />Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa<br /><br />Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke<br /><br /><br />Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE<br /><br /><br />Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi<br /><br /><br />Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana[/QUOTE]<br />WEWE SI NDIYO ULITUAMBIA KUWA UMEPATA DIV. ONE YA POINT 10,NA UNATAKIWA KWENDA FORM FIVE SASA LEO FORM FIVE TAYARI UNA SUP, MBONA UNATULETEA UGUNDUZI MPYA?
 
Umelikoroga wewe, pole aisee vip bata nyingi kule eti eeh,
[quote uid=385789 name="HR 666" post=19780069]Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma<br /><br />Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana<br /><br /><br />Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa<br /><br />Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke<br /><br /><br />Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE<br /><br /><br />Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi<br /><br /><br />Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana[/QUOTE]<br />WEWE SI NDIYO ULITUAMBIA KUWA UMEPATA DIV. ONE YA POINT 10,NA UNATAKIWA KWENDA FORM FIVE SASA LEO FORM FIVE TAYARI UNA SUP, MBONA UNATULETEA UGUNDUZI MPYA?
 
Huu uzi badhani nimewasaidia wanaotoa ushauri kuacha Mara Moja. Ila BAHATI mbaya sana hawasomi comments za wadau. Huyu dogo anachezea sana jukwaa hili kama la watoto vile.
Ila members walivo sio watu wa kufanya for up hata hawafuatilii
Numbisa kaka yako huku anatuvuruga tena
 
GPA ikoje maana kama DMS below 1.8 umedisco na kwa uzoefu wangu watu wana Fanya zote utakuta katonazo vizuri soma na pitia zire paper za UE
[quote uid=385789 name="HR 666" post=19780069]Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma<br /><br />Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana<br /><br /><br />Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa<br /><br />Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke<br /><br /><br />Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE<br /><br /><br />Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi<br /><br /><br />Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana[/QUOTE]<br />WEWE SI NDIYO ULITUAMBIA KUWA UMEPATA DIV. ONE YA POINT 10,NA UNATAKIWA KWENDA FORM FIVE SASA LEO FORM FIVE TAYARI UNA SUP, MBONA UNATULETEA UGUNDUZI MPYA?
 
km boom limebaki nunua bajaji weka road inalipa
[quote uid=385789 name="HR 666" post=19780069]Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma<br /><br />Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana<br /><br /><br />Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa<br /><br />Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke<br /><br /><br />Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE<br /><br /><br />Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi<br /><br /><br />Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana[/QUOTE]<br />WEWE SI NDIYO ULITUAMBIA KUWA UMEPATA DIV. ONE YA POINT 10,NA UNATAKIWA KWENDA FORM FIVE SASA LEO FORM FIVE TAYARI UNA SUP, MBONA UNATULETEA UGUNDUZI MPYA?
 
Sup 5/8 hapo siyo kwamba utafute night club mapema kabisa kwa ajili ya disco toto mkuu!
Hapo jiandae kisaikolojia kweli, wafa!
 
Back
Top Bottom