Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #281
Pitia post namba 100 limetolewa ufafanuzi yakinifuWewe ni Muongo, jumatatu ulikua unapiga msuli ukakutana na mrembo ukaenda kumpigia Nyeto... Saivi ushasup.. Sawa bwana
Nahisi nimeathirika na VVUIn any University kila kazi unayopewa yaani assignment ni MUHIMU MNO MNO, chuo hakuna lelemama kama kweli umetoka high school with good grades na sasa unataka chuo kikuu utoke na GPA 3.8 kwenda juu, from day one kama una akili za kawaida you have got to read kufa na kupona na assignment uwe unapata siyo chini ya 9/10 that is nine over ten!! else rudi kijijini kuchunga ngombe au kuchimba madini na siyo chuo.(for your information mimi chuo nilipitia late 1970s and early 1980s)!!!
Nahisi nimeathirika na VVUUsijifanye kichwa ngumu mara ya ngapi nakwambia?
Pitia post no100 nishaliongelea hili
Nahisi nimeathirika na VVUNawapa pole wazazi wako kwa kutumia fedha zao kwa mtu unayeshinda jf kutongoza wanawake tunaokuzidi maisha HR 666 kumbe u mtoto kiasi hicho?! Next time tumia vizuri resources wanazo invest wazazi wako kwako,huo ndio ushauri wangu!!
Nahisi nimeathirika na VVUWewe ni Muongo, jumatatu ulikua unapiga msuli ukakutana na mrembo ukaenda kumpigia Nyeto... Saivi ushasup.. Sawa bwana
Nahisi nimeathirika na VVULady Aj yale mambo ya kutongozana mimi na wew si yalishaisha
Kwani nimekutongoza tena?
Ulivyonipiga kibuti tena isitoshe ukaja kunianika jukwaani bado tu una kinyongo?
Hey unataka nini?Nahisi nimeathirika na VVU
Buriani ndugu zangu , tutaonana akhera
Niliacha puchu kwa miaka miwili ila leo nimerudi kwa kasi
Ukisikia HR 666 amefariki utamkumbuka kwa lipi
HR 666 hujambo?
Siku ukipata bahati ya kuonana na HR 666 utamwambiaje
Hivi kwanini vijana wengi wa mtaani wanapenda sana lugha ya kizulu?
Niende PCM au PCB ?
Kwa nini devils worshippers wengi wanapenda kuvaa nguo nzito ?
Nahisi nimeathirika na VVU
Hivi kwanini devil worshippers wengi wana IQ kubwa kuliko Muslims/Christians?
Niliacha puchu kwa miaka miwili ila leo nimerudi kwa kasi
Great thinker na killazzaaa wa JF
Nifundisheni maneno ya kuongea na mwanamke
Nimechoka kupigwa Exile, maisha ya hostel yamenishinda
Muhas Hiyoo, Nasubiria tuu jina langu hapa
Shunie tangu nimpe ujauzito ananinyanyasa sasa, nataka nimletee mke wa pili
Nahisi nimeathirika na VVUHey unataka nini?
Nahisi nimeathirika na VVUCoursework zinasemaje. Ungeanzia huko
Unajitia aibuNahisi nimeathirika na VVU
Buriani ndugu zangu , tutaonana akhera
Niliacha puchu kwa miaka miwili ila leo nimerudi kwa kasi
Ukisikia HR 666 amefariki utamkumbuka kwa lipi
HR 666 hujambo?
Siku ukipata bahati ya kuonana na HR 666 utamwambiaje
Hivi kwanini vijana wengi wa mtaani wanapenda sana lugha ya kizulu?
Niende PCM au PCB ?
Kwa nini devils worshippers wengi wanapenda kuvaa nguo nzito ?
Nahisi nimeathirika na VVU
Hivi kwanini devil worshippers wengi wana IQ kubwa kuliko Muslims/Christians?
Niliacha puchu kwa miaka miwili ila leo nimerudi kwa kasi
Great thinker na killazzaaa wa JF
Nifundisheni maneno ya kuongea na mwanamke
Nimechoka kupigwa Exile, maisha ya hostel yamenishinda
Muhas Hiyoo, Nasubiria tuu jina langu hapa
Shunie tangu nimpe ujauzito ananinyanyasa sasa, nataka nimletee mke wa pili
Nahisi nimeathirika na VVUmkuu hii ni semester ya ngapi kwako?
Nahisi nimeathirika na VVUUnajitia aibu
We huoni watu wanavyokudharau hata like hawakupi kwa kuwa wanakuona kama senseless man
Hii kwa mzumbe nadhani ungeshadisco maana pale sup zilikuwa zikifika nne in one academic year umedisco. Bora huko uliko. Ila ushauri mzuri ni kurudia mwaka tu, tafuta mbinu urudie mwaka kijana. Ila kama unlipiwa na heslb sijui itakuwaje.Sawa naomba ushauri wako tafadhari kwa wakati huu mgumu ninao pitia
AU AKAJIFUNZE KABADI.Tafuta issue nyingine ufanye.Mfano unaweza jifunza kukimbia riadha.Sidhani kama utashindwa fukuza upepo
Inaonekana shule siyo mahali pako pengine kuna mahali ambapo pangekufaa zaidi, supp 5 kati ya 8 maana yake ni kwamba hauko makini na masomo yako