Abdul mndili
Senior Member
- Oct 15, 2016
- 192
- 137
HujishtukiiMkuu pitia huo uzi. Huyu DOGO anachezea akili zenu.
Ndio maana kuna wadau wamehoji chuo unachosoma, umekuwa mkali! Chuo gani hicho Coursework 30%?24 out of 30 ni nini hiyo kama sio 80%
Course work ni 30 na mimi nimepata 24
Sasa 24 gawa kwa 30 halafu uzidishe kwa mara mia moja unapata ngapi?
Siku nyingine usiwe unabisha bisha uonekane mjuaji
Hata mm nahisi maana sio kwa hizo kozi nane kwa semesterLabda anasoma Data Sky
Upumbavu upi nilioufanya?Napata wasiwasi mkubwa sana...na ndio maana serikali yataka majina halisi ya JF members kwa sababu ya upumbavu ya watu wa aina hii
Niende PCM au PCB ?24 out of 30 ni nini hiyo kama sio 80%
Course work ni 30 na mimi nimepata 24
Sasa 24 gawa kwa 30 halafu uzidishe kwa mara mia moja unapata ngapi?
Siku nyingine usiwe unabisha bisha uonekane mjuaji
Niende PCM au PCB ?Napata wasiwasi mkubwa sana...na ndio maana serikali yataka majina halisi ya JF members kwa sababu ya upumbavu ya watu wa aina hii
Niende PCM au PCB ?Hujishtukii
Watu wanakuona hamnazo ndio maana hata kuku qoute wala kukupa like hawakupi na hawakuungi mkono
Usibishe vitu usivyovijuaMaana navyojua vyuo vingi kwa semester wanasoma masomo 6....sasa yy anasoma masomo nane...na hajafanya mtihani wa project hahaahaha
Mkuu kama unasoma masomo ya science hiyo ni possible. Ila kwa huyu jamaa ni ujinga mtupuMaana navyojua vyuo vingi kwa semester wanasoma masomo 6....sasa yy anasoma masomo nane...na hajafanya mtihani wa project hahaahaha
Course work 30% final exam 70%Ndio maana kuna wadau wamehoji chuo unachosoma, umekuwa mkali! Chuo gani hicho Coursework 30%?
Niende PCM au PCB ?Ivi si wewe ndo yule aliyemaliza form 4 juzi alafu ukaanza kuomba ushauri kati ya PCM & PCB ipi ndo nzuri umefika lini chuo mshenzi wewe
Au umefanya huku jf kama kijiwe cha kahawa.
ukiwa mwongo jaribu kuwa na kumbukumbu
Niende PCM au PCB ?Ndio maana kuna wadau wamehoji chuo unachosoma, umekuwa mkali! Chuo gani hicho Coursework 30%?
Niende PCM au PCB ?Course work 30% final exam 70%
Bro come with the facts acha manenooooo.Usibishe vitu usivyovijua