Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Sasa unakataa nini ?

Unaonekana umesoma art ndio maana unaona ajabu mtu kusoma masomo 8 kwa semester
Bro mm nasoma udsm..na sasa nipo likizo sina shida. ..vipi wewe na uwongo wako?? Hata chuo unachosoma huwezi sema hahahahahahahaha
 
Unazingua unapunguza moral ya watu kutoa ushauri
Anayezingua ni huyo raisi 20 anatafuta kujulikana kwa nguvu

Kama ni kutoa link si amezitoa mbona anarudia rudia we hushtuki tu kama anataka watu wamjue?
 
Anayezingua ni huyo raisi 20 anatafuta kujulikana kwa nguvu

Kama ni kutoa link si amezitoa mbona anarudia rudia we hushtuki tu kama anataka watu wamjue?
Niende PCM au PCB ?
Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhari
Nataka wanijue kwa lipi?
Sisi tumesoma chuo siku nyingi ila hatukuwa wajinga kama wewe.
Kwanza unawadhalilisha wanavyuo kwa kuleta mada zinazopishana. Leo unasema upo chuo kesho unasema upo form four?
Huu kama sio upuuzi ni nini?
Niende PCM au PCB ?
Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhari
Paw
Mod 4

Fanyieni kazi nyuzi ya huyu jamaa. We are tired of this foolish posts
 
Una GPA ya ngap ?? Kwm kwny remarks wamekuandika supp sio disc... Bac jipange uka uka sapue wakitoa ratiba nadhan almanac ya chuo chenu unayo....!!!
 
Wote tayari mnajulikana cha msingi mvumiliane tu.
Mkuu hivi humuoni kama jamaa ana upungufu wa akili ?

Embu jaribu kufikiria yeye kazi yake kuweka link baaaasi tena amefanya hivyo si chini ya mara hamsini we hushangai?

Ilibidi kama anachokisema anamaanisha aweke link mara moja then aache kuchangia kabisa

Kitendo cha kurudia rudia unaona kabisa huyu anatafuta kujulikana kwa nguvu

Na kila siku nikianzisha mada lazima aje kuchangia ili na yeye aonekane
 
Back
Top Bottom