Winston Mtanzania
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 340
- 117
niko pamoja na wewe kabisa aondoe neno hawezi na aweke neno anaweza kwani kupata sap si kitu cha ajabu cha msingi ameshajitambua ajìsafíshê maisha. yaendeOndoa mawazo ya kuwa huna uwezo wa kuyasapua kisha jiamini na ujiandae kwenda kufanya supplementary zako.
Ukitaka kuwa mpambanaji kuwa kwanza na lengo la kushinda ili kushindwa liwe tokeo tu lakini hukupanga kushindwa.
pia ni vema sana ushauri uwo wakuonana kwanza na academicNafikir masomo matano utakua umedisco mana kwa masomo nane unatakiwa usapu masomo manne kwa ufaulu Wa masomo matatu, chamsing hapo utambiwa mawili urudie mwako au kudisco nikushaur uwasiliane na viongoz Wa academic Wa chuo ngaz ya mwanafunz wajue jins yakukusaidia
Umemuelewa! Msamehe tu!Huu ni uzi wako mwingine:Niende PCM au PCB (31.01.2017)? Hapo ni issue ya kwenda F5. Na uzi wa leo ni matokeo ya chuo kikuu. Ahsante nimekuelewa.