Nonpartisan
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 278
- 254
Muongo huyu mtoto mnapoteza muda kuchati naeKwanza umenishtua kusema hujawai pata matokeo ya aina hiyo sa umekuaje ukapata mkuuu,
Then hai-make sense kusema Upo chuo harafu hujui kama assignment na test maksi zake hua zinahesabiwa, Upo serious kweli mkuuu
Kwanza umenishtua kusema hujawai pata matokeo ya aina hiyo sa umekuaje ukapata mkuuu,
Then hai-make sense kusema Upo chuo harafu hujui kama assignment na test maksi zake hua zinahesabiwa, Upo serious kweli mkuuu
falling down is an accident, remaining down is a choice!hilo mkuu siwezi kukwambia kwa sababu za kiusalama zaidi
Yupo MUHAS alituambiaga alipopata nafasi.Upo chuo gani?
Ukikosea ni vema uwe muwqzi kama lengo ni kusahihisha. Kuficha kosa maana yake unataka kuendelea kukosea. Unadhani wazazi hawana msaada? Kama ulikosea na unataka wasijue kosa lako huoni unawakosea zaidi?Sawa mkuu nashukuru
Ila tatizo linakuja jinsi ya kuwashawishi wazazi waelewe yani shida ndio inaanzia hapo
Kwa maana najiona mkosaji sana
Ilikuwa ugomvi nikiomba nipewe hela halafu wachelewe kunitumia na walihakikisha wananipatia kiasi chochote kile cha pesa ninachokitaka bila ya kuwa na limit ya matumizi kws maana sina mkopo wa serikali (HESLB)
Sasa kitendo cha kuwaambia nimefeli aisee sijui nitaanzia wapi yani
Natamani ardhi ipasuke nijifiche
Amefeli sana!Yupo MUHAS alituambiaga alipopata nafasi.
hamna mavazi hayaendani na msuli mkuu....mbona me natia pamba na nanyoosha kama kawdaa....na natia msuli kuliko hao jamaa zako wanaovaa vibayaPunguza kuvaa kibishoo na mademu chuon
Basi Mimi nikajua AMAZON COLLEGE mkabala na...!huyoo jamaa muongoo anacheza na akili zenuu....hamna chuo ambacho wametoa matokeo ya first semester...
huyo yuko ARDH environmental eng..chuoni kwao ndo kwanza wako kwenye UE naw....!!