Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

inategemeana , labda katika hzo sup, ni coz za unit 1 au 2, uwezi disco...

kaa fanya calculation zako zote alafu jarbu kuangalia total units zako zote na za nxt sem, ujue kama utaweza kutoka...

kuna jamaa, mwaka wa 2 mlimani alipata sup 7 kati ya course 11 za CoET, ila huo mwaka alivuka salama, but lazima ustruggle sana second sem

utani: utakuwa ndio wewe ulikuwa unatembea na kitambulisho cha udsm mpka kigambon

ahaha ahaha
 
Kwanza umenishtua kusema hujawai pata matokeo ya aina hiyo sa umekuaje ukapata mkuuu,
Then hai-make sense kusema Upo chuo harafu hujui kama assignment na test maksi zake hua zinahesabiwa, Upo serious kweli mkuuu
 
Kwanza umenishtua kusema hujawai pata matokeo ya aina hiyo sa umekuaje ukapata mkuuu,
Then hai-make sense kusema Upo chuo harafu hujui kama assignment na test maksi zake hua zinahesabiwa, Upo serious kweli mkuuu
3cb54e0e2007a08da75298e255838159.jpg
 
Duh hapo umekalia bunduki ikiwa imekokiwa. Pole xn ndg ila utakuw umejfnza kuwa chuo sio advance wala o level, ulikalia kula papuchi sasa kilio umebaki nacho mwenye kina lecho ulokuwa ukidate nao utawacha wakipeta mana wewe ulijua chuo degree wanapewa tu ata wapita njia. Please jarib kuwa serious 4 everything that you do
 
Nenda kapambane(kafanye hizo sup)usikate tamaa...utakaza mwaka unafuata ili kupata average nzuri ya GPA mwishoni masomo yako
 
President 2020 Ahsante kwa kuichimbua hii. Kwa hiyo dogo ameelewa kuwa shit happens. Life is indeed like boomerang!!!
 
Sawa mkuu nashukuru


Ila tatizo linakuja jinsi ya kuwashawishi wazazi waelewe yani shida ndio inaanzia hapo

Kwa maana najiona mkosaji sana


Ilikuwa ugomvi nikiomba nipewe hela halafu wachelewe kunitumia na walihakikisha wananipatia kiasi chochote kile cha pesa ninachokitaka bila ya kuwa na limit ya matumizi kws maana sina mkopo wa serikali (HESLB)


Sasa kitendo cha kuwaambia nimefeli aisee sijui nitaanzia wapi yani
Natamani ardhi ipasuke nijifiche
Ukikosea ni vema uwe muwqzi kama lengo ni kusahihisha. Kuficha kosa maana yake unataka kuendelea kukosea. Unadhani wazazi hawana msaada? Kama ulikosea na unataka wasijue kosa lako huoni unawakosea zaidi?

Sent from my HUAWEI G525-U00 using JamiiForums mobile app
 
huyoo jamaa muongoo anacheza na akili zenuu....hamna chuo ambacho wametoa matokeo ya first semester...
huyo yuko ARDH environmental eng..chuoni kwao ndo kwanza wako kwenye UE naw....!!
 
Fanya hiv sapua tuu mwakan , usichukue coz nyingine , mimi na sap moja
 
Punguza kuvaa kibishoo na mademu chuon
hamna mavazi hayaendani na msuli mkuu....mbona me natia pamba na nanyoosha kama kawdaa....na natia msuli kuliko hao jamaa zako wanaovaa vibaya
 
huyoo jamaa muongoo anacheza na akili zenuu....hamna chuo ambacho wametoa matokeo ya first semester...
huyo yuko ARDH environmental eng..chuoni kwao ndo kwanza wako kwenye UE naw....!!
Basi Mimi nikajua AMAZON COLLEGE mkabala na...!
 
Back
Top Bottom