Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Upo chuo gani?
 
  • Thanks
Reactions: kpi
Ahirisha mwaka maana mpak hapo ni tayari umedisko so ukisema uendelee itakua shida. ila mwakan ukirudi uache ujinga maana inaonyesha ulitoka secondary ukiwa na perception ya chuo bata. kuwa makini jifunze kutokana na makosa
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Upo chuo gani?
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
e0f71ab0d6957983739dc3f89b08a43b.jpg
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Upo chuo gani?
 
Wengine tumemaliza zamani kidogo, tupe majibu haya kwanza:-
1. Upo mwaka wa ngapi?
2.Sheria ya chuo inasemaje ? ili ufanye sup inabidi usifeli zaidi ya masomo mangapi?
3.Unasomea kozi gani?
4.Upo chuo kipi?
5.Maelezo mengine yeyote yatakayoweza kutupa undani wako ?
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
WEWE SI NDIYO ULITUAMBIA KUWA UMEPATA DIV. ONE YA POINT 10,NA UNATAKIWA KWENDA FORM FIVE SASA LEO FORM FIVE TAYARI UNA SUP, MBONA UNATULETEA UGUNDUZI MPYA?
 
kama unajua hatma ya watu ambao wamedisko utajutia sana kipindi upo club na wenzako ambao nao wamefaulu ila wewe gundu linakuandma
 
Sup 5 means Disco, wewe umeichezea elimu na kupoteza muda katika mambo yasiyo ya Msingi,pole sana mpo wengi wa aina yako na kwa taratibu za mkopo uki Discontinue tu unatakiwa kuanza kulipa Deni lako bodi mara moja
 
Ahirisha mwaka maana mpak hapo ni tayari umedisko so ukisema uendelee itakua shida. ila mwakan ukirudi uache ujinga maana inaonyesha ulitoka secondary ukiwa na perception ya chuo bata. kuwa makini jifunze kutokana na makosa
Sawa mkuu nashukuru


Ila tatizo linakuja jinsi ya kuwashawishi wazazi waelewe yani shida ndio inaanzia hapo

Kwa maana najiona mkosaji sana


Ilikuwa ugomvi nikiomba nipewe hela halafu wachelewe kunitumia na walihakikisha wananipatia kiasi chochote kile cha pesa ninachokitaka bila ya kuwa na limit ya matumizi kws maana sina mkopo wa serikali (HESLB)


Sasa kitendo cha kuwaambia nimefeli aisee sijui nitaanzia wapi yani
Natamani ardhi ipasuke nijifiche
 
Usikate tamaa. Jaribu kukaa chini na uangalie mbinu nyingi ya kuweza kukuenrol hadi mwakani. Lakini kama unanafasi ya kuongea na wakufunzi watakusaidia.
 
Wengine tumemaliza zamani kidogo, tupe majibu haya kwanza:-
1. Upo mwaka wa ngapi?
2.Sheria ya chuo inasemaje ? ili ufanye sup inabidi usifeli zaidi ya masomo mangapi?
3.Unasomea kozi gani?
4.Upo chuo kipi?
5.Maelezo mengine yeyote yatakayoweza kutupa undani wako ?
Nipo mwaka wa kwanza
 
Cha msingi hapo kijana hakikisha semister ijayo hufeli hata somo moja na usome kwa bidii ili ufaulu
 
Back
Top Bottom