Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Swali gumu hili mkuu

Na sababu ya kuwa gumu ni kuwa huenda humu kuna ma lecturers wangu hivyo basi kuendelea kujianika itakuwa sio kitu kizuri na watakuwa wananifuatilia nyendo zangu kitu ambacho sipendi kitokee
1f2dcc7f08333bbcc8333fa9de0d9411.jpg
 
Sup 5 means Disco, wewe umeichezea elimu na kupoteza muda katika mambo yasiyo ya Msingi,pole sana mpo wengi wa aina yako na kwa taratibu za mkopo uki Discontinue tu unatakiwa kuanza kulipa Deni lako bodi mara moja
Sikuomba mkopo

Nasomeshwa kwa pesa za wazee wangu
 
Nafikir masomo matano utakua umedisco mana kwa masomo nane unatakiwa usapu masomo manne kwa ufaulu Wa masomo matatu, chamsing hapo utambiwa mawili urudie mwako au kudisco nikushaur uwasiliane na viongoz Wa academic Wa chuo ngaz ya mwanafunz wajue jins yakukusaidia
Kila chuo na sheria zake, kwa chuo chake inaelekea bado kudisco
 
Usikate tamaa. Jaribu kukaa chini na uangalie mbinu nyingi ya kuweza kukuenrol hadi mwakani. Lakini kama unanafasi ya kuongea na wakufunzi watakusaidia.
Nashukuru mkuu

Lakini roho saaana inaniuma kuchafua cheti

Vipi huko mbeleni ,hali itakuaje cheti chako kikionesha kwamba uliwahi kupata sup?
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
UE hujafanya/ kama ymefanya nadhani matokeo hayajaingia aris.

Any way, kwa sup hizo sina budi kusema umediscont.
 
Back
Top Bottom