Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #61
Huko mbeleni itakuaje mkuu ?usirudi nyuma kaza semister ijayo usishikwe ili uje kusapua hayo mambo ya kawaida sana kwa level yako mku
Kwenye suala la ajira?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko mbeleni itakuaje mkuu ?usirudi nyuma kaza semister ijayo usishikwe ili uje kusapua hayo mambo ya kawaida sana kwa level yako mku
Swali gumu hili mkuu
Na sababu ya kuwa gumu ni kuwa huenda humu kuna ma lecturers wangu hivyo basi kuendelea kujianika itakuwa sio kitu kizuri na watakuwa wananifuatilia nyendo zangu kitu ambacho sipendi kitokee
Sikuomba mkopoSup 5 means Disco, wewe umeichezea elimu na kupoteza muda katika mambo yasiyo ya Msingi,pole sana mpo wengi wa aina yako na kwa taratibu za mkopo uki Discontinue tu unatakiwa kuanza kulipa Deni lako bodi mara moja
Kila chuo na sheria zake, kwa chuo chake inaelekea bado kudiscoNafikir masomo matano utakua umedisco mana kwa masomo nane unatakiwa usapu masomo manne kwa ufaulu Wa masomo matatu, chamsing hapo utambiwa mawili urudie mwako au kudisco nikushaur uwasiliane na viongoz Wa academic Wa chuo ngaz ya mwanafunz wajue jins yakukusaidia
Nashukuru mkuuUsikate tamaa. Jaribu kukaa chini na uangalie mbinu nyingi ya kuweza kukuenrol hadi mwakani. Lakini kama unanafasi ya kuongea na wakufunzi watakusaidia.
Dah..... Bahati mbaya Sana.... [emoji13] [emoji13]mimi ni mwanaume
Nani wa kulaumiwa juu ya suala la mkopoSikuomba mkopo
Nasomeshwa kwa pesa za wazee wangu
Sio muda wa dhihaka huu
Chuo gan hicho ambacho UE tayari na matokeo?Nipo mwaka wa kwanza
UE hujafanya/ kama ymefanya nadhani matokeo hayajaingia aris.Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma
Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana
Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa
Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke
Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE
Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi
Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Mbona DAUD BASHITE aliruka hivi vihunzi bila kubadili kozi?Wewe kijana hiyo kozi huna uwezo nayo chakufanya mwakani kasome kozi nyingine.