Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Yaani ungekuwa mwanangu.......!

Punguza muda unaotumia humu jf na elekeza kwenye masomo na matokeo utayaona.
Level ya chuo kikuu sio ya kutafuniwa na kutemewa, kujiongeza ndio kila kitu.
Ila kuchomoa sup 5 sio kitoto potea humu nenda kapige msuli ila usisahau kuleta mrejesho!
 
Wakuu EGM au CBG nishaurini wapi niende
 
Mkuu kama umesomea vyuo vya Tanzania huwezi kutoa ushauri hapa.
Chuo gani kimefanya UE muda huu na kumark na kutoa results?
Chunguza kabla ya Ku shauri usije ukatumia muda mrefu kutype ushauri kumbe chenga
Wakuu EGM au CBG nishaurini wapi niende
 
Wakuu EGM au CBG nishaurini wapi niende
 
Yaani we jamaa unahitaji ushauri gani sasa si ulisema unawavutia hisia wanawake wa jf km Preta, sasa kwa nyuzi kama hizo kwa nn usidisco kabisaaa?? Nakuombea Discontinuity kaka kwa ujinga wa jf
 
Huyu DOGO akirudi kujibu hoja zake za nyuma na utumbo wa Leo mnistue. Nalala kwanza.
Ila huu utoto ifikie mahali mods waufanyie kazi
Naimani hawezi kurudi tena maana uzi wake nimeuwekea evidence za upuuzi wake.
Wakuu EGM au CBG nishaurini wapi niende
Jf inafanywa kama kijiwe cha watoto.
 
Ahsante mkuu shukrani
 
Daaah mkuu umenifungua akili ,aiseee nashukuru saana kwa kweli

Watu kama nyie ndio mnasababisha jamii forum watu tuendelee kuwepo aisee nashukuru saaana kwa kweli
Kuchomoa DISC kwake ni km kuikuta bikra kwa mama mwenye watoto 8.
 
Ku'sup' nusu ya koz ni direct disco. Hakuna namna. Labda u'appeal'. Unapata mkopo?
 
Bro inaonekana jiji linakukimbiza,ulikujaga kuomba ushaur baada ya kuhisi umeathilika kwakuwa ulipiga kavu na malaya leo tena una msala aa chuo?,kuhusu chuo hapo ni disco labda iwe chuo ni cha mtaani ndio itakuwa repeat year or supp!
 
Kumbe ndo wew[emoji15]
 
Kufeli kupo ndugu yangu ila kama unafeli na kukata tamaa basi hata huko utakoenda pia utashindwa mana huna hari ya upambanaji .kuwa mwanaume kweli shika kitabu kuanzia sasa soma acha upuzi jiandae na supp mie nishaona MTU mwenyew sup 5 na akachomowa zote .cheti hakitengenezwi kwa semist au mwaka 1 utapandisha tu GPA yak badae jiamini ( pata supp ili uelewe zaidi) kaza butu kaka ndo ukubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…