Himawari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 2,609
- 1,700
Yaani ungekuwa mwanangu.......!
Punguza muda unaotumia humu jf na elekeza kwenye masomo na matokeo utayaona.
Level ya chuo kikuu sio ya kutafuniwa na kutemewa, kujiongeza ndio kila kitu.
Ila kuchomoa sup 5 sio kitoto potea humu nenda kapige msuli ila usisahau kuleta mrejesho!
Punguza muda unaotumia humu jf na elekeza kwenye masomo na matokeo utayaona.
Level ya chuo kikuu sio ya kutafuniwa na kutemewa, kujiongeza ndio kila kitu.
Ila kuchomoa sup 5 sio kitoto potea humu nenda kapige msuli ila usisahau kuleta mrejesho!