Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Hii kwa mzumbe nadhani ungeshadisco maana pale sup zilikuwa zikifika nne in one academic year umedisco. Bora huko uliko. Ila ushauri mzuri ni kurudia mwaka tu, tafuta mbinu urudie mwaka kijana. Ila kama unlipiwa na heslb sijui itakuwaje.
971ccef3f4e5daa06395af2c3e13b9c6.jpg
 
Kuna mtu alikuwa anaingiza sup 6 kwa mwaka... anapangua 5 anacarry somo 1.
 
Uko chuo gani kwanza?!!,, mbona kma ushadisco tayari
Sup 5 out of 8 modules
 
Wengine tumemaliza zamani kidogo, tupe majibu haya kwanza:-
1. Upo mwaka wa ngapi?
2.Sheria ya chuo inasemaje ? ili ufanye sup inabidi usifeli zaidi ya masomo mangapi?
3.Unasomea kozi gani?
4.Upo chuo kipi?
5.Maelezo mengine yeyote yatakayoweza kutupa undani wako ?
Mkuu huyo ni mtoto asiwaumize kichwa mtu anashindwa hata kujieleza...haya kusema anasoma chuo gani hawezi basi sema kozi hayo haweZi sasa anataka asaidiwe je?
 
Mkuu huyo ni mtoto asiwaumize kichwa mtu anashindwa hata kujieleza...haya kusema anasoma chuo gani hawezi basi sema kozi hayo haweZi sasa anataka asaidiwe je?
nataka nisaidiwe mawazo kutaja chuo ninachosoma ni aibu kwa lectures wangu wengine wapo humu JF
 
HE'S EXPOSING YOUR STUPIDITY POSTS, YOU PERHAPS THINK ALL GUYS IN JF ARE FOOLS, CC; PETER TOSH
Asante mkuu kww kunielewa lengo langu
Huyu anatakiww kuandikiwa ripoti kwa mods ili hatua sitahiki zichukuliwe
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana

We si uliamua kushinda humu JF kuitukana serikali ya Magufuli....
 
Asante mkuu kww kunielewa lengo langu
Huyu anatakiww kuandikiwa ripoti kwa mods ili hatua sitahiki zichukuliwe
kwani hizo nyuzi zina tatizo gan?

Zinauhusiana nini na nilichopost humu?


Always try to think critically
 
We usha disco tayari jiandae kurudia au katoe rushwa
Ushafeli zaidi ya nusu ya course unatarajia nini
 
Uko chuo gani na level ipi? Hivi kuna vyuo wameshamaliza mitihani na kutoa matokeo mpaka sasa?
Mimo nahisi huyo kijana ni utoto unamsumbua...maana vyuo vingi wanaanza mitihani j3 ya tarehe 20...ukiachana na udsm ambao wameshafunga chuo
 
Back
Top Bottom